Basi lengo lake limefanikiwa..Mana amepata attention ya kutoshaYe alisema lengo lake halikua kuajiriwa bali kujiajiri kuwa na kitu chake na aliamua kutumia mitandao ya kijamii kujitangaza.. enzi za facebook huko.. Ndio maana alichagua jina la Bikra wa kisukuma akiamini lita pata attention kwa watu wengi na pia kwa aina ya post atakazokua anaweka..
Mwisho wa siku jina likakua akaona haina haja ya kubadilisha... akaendelea ku stick nalo hadi sasa..
Ye alisema lengo lake halikua kuajiriwa bali kujiajiri kuwa na kitu chake na aliamua kutumia mitandao ya kijamii kujitangaza.. enzi za facebook huko.. Ndio maana alichagua jina la Bikra wa kisukuma akiamini lita pata attention kwa watu wengi na pia kwa aina ya post atakazokua anaweka..
Mwisho wa siku jina likakua akaona haina haja ya kubadilisha... akaendelea ku stick nalo hadi sasa..
Hivi mwanaume ukiwa handsome unahisiwa vibaya kwanini?
sielewagi
Mwanaume mzima na p.umb.u zake anajiita bikira. Watu wengine ni ma.b.wege sana.
Hilo jina tu linadhihirisha jamaa ni choko, na wanaomshabikia nao ni machoko
Afu huyu mtoto wa kichaga nasikia nae anatatuliwa marinda
Hahahaha!!!!! Mule mule babu!!!Nadhani Mleta Uzi nia yako si tujue mafanikio ya huyo kijana Bali tumjadili yeye kujiita Bikra wa Kisukyuma. Si bora tumjadili Ray Kigosi?
Huyu nae ni celebrity? daah kazi kweli kweli...Hii itakuwa ni series ya kila jumapili tutakuwa kila wiki tunatoa vijana wa kitanzania waliofanikiwa aidha kibiashara, au kwa kazi wanazofanya
lengo ni kuwa support, kujua story zao wameanza anzaje ili yule, mimi, na wewe tuweze kuiga mifano toka kwao
kwa leo tunaanza na huyu jamaa Anayeitwa Giovani maarufu kwa jina la BIKIRA WA KISUKUMA
kijana huyu ni mfano wa kuigwa kwani aliona opportunity ya kimaisha kwenye simu yake ya mkononi YES smartphone
kupitia MALAKI ya followers wake kupitia mtandao wa INSTAGRAM kijana huyu amekuwa akitoa elimu ya ujasiliamali jambo ambalo limekuwa ni mwanga kwa vijana wengi
kijana huyu kuthibitisha kuwa yeye ni mjasiliamali ameanzisha sehemu yake ya kujivinjali inaitwa THE PARLIAMENT ambapo sasa hivi ni habari ya mjini
vile vile jamaa huyu ni mtangazaji wa E FM kipindi anachoshirikiana na LEGEND wa utangazaji nchini GARDER G
haya ndio machache ya BIKIRA wa kisukuma mengine ongezea wewe
Sipatii picha siku nikipokea taarifa mtu kama Kalapina anatatuliwa marindaMwanaume ULIYEKAMILIKA Na SHABABI Lazima Uwe Na SURA CHUNGU, Yenye CHUNUSI Za SHIDA Na Mwonekano Wa KIBABE Huku KIKWAPA Kikiwa KINATEMA Kimtindo Siyo Kama Hao Vijana Wako Ambao Kiukweli Wanaonekana Kabisa Ni Members Wa KUTUKUKA Wa Magomeni Mapipa Kwa Macheni.