Mjue Baba wa chombo cha anga Mwenye umri mrefu

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,720
IMG_2159.jpg

Voyager 1 ni chombo cha angani kilichorushwa mwaka 1977 na shirika la NASA nchini Marekani kwa kusudi la kupeleleza anga-nje katika mfumo wa Jua letu hadi anga-nje kati ya nyota.

Nasa imetangaza kufunga mifumo yake ifikapo 2025 kwa kuwa kuna vyombo vingi vinavo itajika kufanya utafiti.ila kutumika kwa utafiti wa mbali kama kitakuwa na mawasiliano .kwa kuwa uchukua mda kupata mawasiliano

IMG_2161.jpg

Chombo kwa sasa kishatoka katika orbit ya nyota (jua) mbali na sasa katika solar system kwa mda.
Kama dunia kufika sayari ya pluto utumia miaka 10 basi chombo hiki kisha toka hapo.

Wanazengo wa anga tujadili hili
 
Hicho chombo mpaka sasa kipo umbali Wa kilomita billion 14 hiki chombo walilenga kikatafiti sayari zilizo mbali mfano pluto lakini kilionekana kua na nishat ya kutosha wakaamua kukiacha kiendelee kwenda mbele
 
View attachment 1630139
Voyager 1 ni chombo cha angani kilichorushwa mwaka 1977 na shirika la NASA nchini Marekani kwa kusudi la kupeleleza anga-nje katika mfumo wa Jua letu hadi anga-nje kati ya nyota.

Nasa imetangaza kufunga mifumo yake ifikapo 2025 kwa kuwa kuna vyombo vingi vinavo itajika kufanya utafiti.ila kutumika kwa utafiti wa mbali kama kitakuwa na mawasiliano .kwa kuwa uchukua mda kupata mawasiliano

View attachment 1630153
Chombo kwa sasa kishatoka katika orbit ya nyota (jua) mbali na sasa katika solar system kwa mda.
Kama dunia kufika sayari ya pluto utumia miaka 10 basi chombo hiki kisha toka hapo.

Wanazengo wa anga tujadili hili


Hatuwawezi, kama walikuwa na uwezo huo mwaka 1977, sisi mpaka leo hata kutengeneza sindano ya kushonea viraka vya suruali hatujaweza
 
Back
Top Bottom