Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,392
Hii ni habari yako...
Siku moja alisimulia kitabu cha How European Underdevelop Africa cha W. Rodney.
Ila siku anakufa watu walilewa kama vile Mjomba ulikua mlevi fala sana.
Mjomba alikua mtu wa MUNGU sana ukimpa kitabu cha Novel, History, au Chochote anakusimulia kwa uhalisia kama yeye alikua Mwandishi.
Baadaye alikuja kuwa Mwanasiasa wa kawaida tu sio Mashuhuri sana ila soon amekufa nani unamkumbuka leo?
He was my Uncle But no one's care about him now!
Never Saw this kind of analysis ila alikua bora sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja alisimulia kitabu cha How European Underdevelop Africa cha W. Rodney.
Ila siku anakufa watu walilewa kama vile Mjomba ulikua mlevi fala sana.
Mjomba alikua mtu wa MUNGU sana ukimpa kitabu cha Novel, History, au Chochote anakusimulia kwa uhalisia kama yeye alikua Mwandishi.
Baadaye alikuja kuwa Mwanasiasa wa kawaida tu sio Mashuhuri sana ila soon amekufa nani unamkumbuka leo?
He was my Uncle But no one's care about him now!
Never Saw this kind of analysis ila alikua bora sana.
Sent using Jamii Forums mobile app