Zamani nilidhani adhabu ya msaliti ni kifo vitani tuu,kumbe nchi zingine hata katika siasa nako ni kifo? Kumbe usaliti ni kitu kibaya sana na kinahitaji adhabu kubwa kiasi hicho? Mbona hapa kwetu tunawajadili sana hata wakipewa kaadhabu ka kufukuzwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.