Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
Mzee Muhidini Maalim Gurumo ni mgonjwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Wodi ya Mwaisela,wodi No.5.Mzee Gurumo ni mmoja wa wakongwe wa Muziki alianza Muziki mwaka 1960 akiwa na Bendi ya NUTA.
Muhidini anasumbuliwa na kujaa maji katika mapafu.Wapenda Muziki,Ndugu na Jamaa tupite Hospitali kumfariji.Sala na maombi yetu yaelekezwa kwake,Ili apate nafuu na kurudi katika shughuli zake za kawaida.
Muhidini anasumbuliwa na kujaa maji katika mapafu.Wapenda Muziki,Ndugu na Jamaa tupite Hospitali kumfariji.Sala na maombi yetu yaelekezwa kwake,Ili apate nafuu na kurudi katika shughuli zake za kawaida.