Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,501
- 12,160
Mrisho Mpoto wa awamu ya JK alikuwa wa moto kweli, kila nyimbo ni fire.
Ila huyu wa sasa toka aamue kuunga mkono juhudi hata sielewi, maana vya kuimba zile tungo zake ni vingi kweli ila yupo kwenye mikutano ya CCM kila siku.
Huyu kama Polepole tu, njaa ndio ilikuwa inawasumbua.
Ila huyu wa sasa toka aamue kuunga mkono juhudi hata sielewi, maana vya kuimba zile tungo zake ni vingi kweli ila yupo kwenye mikutano ya CCM kila siku.
Huyu kama Polepole tu, njaa ndio ilikuwa inawasumbua.