Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Mimi nimezungumzia mchakato ulivyo ..wewe unazungumzia madhaifu ya watendaji...hapo ndio ambapo hukuelewaExactly..... Exaaaaactly!
Mchakato wa bima na ajali ni mrefu, costly, corrupt, exploitative and stressfull!
Mshana Jr. anachukulia mambo kirahisi rahisi anatuambia hatujui mambo ya BIMA eti jamaa a-relax kwa sababu kagongwa yeye, atalipwa na bima ya yule mwingine, vipi kama yule mwingine hana bima ?
Eti beak down tow truck ni bure siku ya ajali kwa vile ajali ni dharura hakuna aliyepanga. Basi wagonjwa wangetibiwa bure na maiti zisingeshikiliwa maana hakuna aliyepanga kuumwa wala kufa.