Mjikumbushe Mzumbe High School

Intake Yetu Tulikuwa Na Hawa Giants Of Ages
Hudson Walter Kitambawazi,Ntuli Kelvin Mwamukonda, Lucas Ferran Kweka, Hussein Hamza Hussein, Patrick Henry Mtui, Misana Masami Manyege, Godfrey Jordan Mahai, Lameck Liheta, Ibrahim Ramadhan, Ibrahim Mdalingwa, Aidan Alexander Kitaly, Gilbert William Shechambo, Samuel Safari Mbughi, Francis Mlelwa, Dastan Mbunda , Kelvin Peter Mruma, Innocen Ngonyani Kasuti, Jordan Seimu, Prosper Mkongwa, Hatibu Diwani, Daud Ndunguru, Sadam Mpacha, Mathias Raphael, Everest Madata, Israel Kihanga, Maige Joseph Maige, Stanslaus Frolence, Francis Ndiwayi, Kasian Kayombo.
Hahahhahha....zungu,social... ...
Misana...platooo
 
Hii ni product ya msumbe?
Munaboa,ili mrabi mimi ni member mzuri wa mzumbe lakini siwaungi mkono kwa maana hakuna cha maana munachotukumbusha,hata Afande sele alisema mwimbo gani munatajataja majina munachoongea hakina maana,kama munataka mambo ya maana fanyeni mavituzi ili ije siku watu wakisikia then waseme hawa ndio wazumbe.
Tatizo elimu ya Tanzania ilikaa kwa kubebabeba mno ndio maana hao watu waliotokea huko Mzumbe,Ilboru,kibaa na kwingineko huku sioni cha maana wanachokifanya.
Jamani elimu sio kufaulu au kuwa TO bali ni nini unakifanya,Nimekaa mzumbe na ninawajua wazumbe ambao walikuwa vipanga ila sasa sioni wanachokifanya especialy wale walioenda nje sehemu ambazo watu wanapima kipaji sio ukaliliji wa pepa za Mungai ambazo wibo tayari kashalikisha 80%.
Nakumbuka kipindi tunamaliza kuna ile kumi bora yetu ya kitaifa,hao watu waliochukua kumi bora,jamani...Elimu ya Tanzania bado ni tete na imekaa kubeba mno.
Naomba watupe kamuda kadoogo mno tuje tuprove kuwa sio wote walioko special ni vichwa bali ni idadi ndogo mno kati yao.
Kumbuka tunaposema Special student tunahitaji ubunifu na si kiwango cha kubeba na kuja kushusha kwenye mtihani.
 
Nimepitia hapo 1971 na kutoka 75, kweli JF mmejaa vijana mzumbe was a great school, na tabia ya kula bure IDM naona ipo bado, nimefurahi lakini
 
Munaboa,ili mrabi mimi ni member mzuri wa mzumbe lakini siwaungi mkono kwa maana hakuna cha maana munachotukumbusha,hata Afande sele alisema mwimbo gani munatajataja majina munachoongea hakina maana,kama munataka mambo ya maana fanyeni mavituzi ili ije siku watu wakisikia then waseme hawa ndio wazumbe.
Tatizo elimu ya Tanzania ilikaa kwa kubebabeba mno ndio maana hao watu waliotokea huko Mzumbe,Ilboru,kibaa na kwingineko huku sioni cha maana wanachokifanya.
Jamani elimu sio kufaulu au kuwa TO bali ni nini unakifanya,Nimekaa mzumbe na ninawajua wazumbe ambao walikuwa vipanga ila sasa sioni wanachokifanya especialy wale walioenda nje sehemu ambazo watu wanapima kipaji sio ukaliliji wa pepa za Mungai ambazo wibo tayari kashalikisha 80%.
Nakumbuka kipindi tunamaliza kuna ile kumi bora yetu ya kitaifa,hao watu waliochukua kumi bora,jamani...Elimu ya Tanzania bado ni tete na imekaa kubeba mno.
Naomba watupe kamuda kadoogo mno tuje tuprove kuwa sio wote walioko special ni vichwa bali ni idadi ndogo mno kati yao.
Kumbuka tunaposema Special student tunahitaji ubunifu na si kiwango cha kubeba na kuja kushusha kwenye mtihani.
Umesomea mzumbe kweli?? Unaanzaje kuandika" munataja badala ya mnataja,munachotukumbusha badala ya mnachotukumbusha " mzumbe alumni hatuko HV...
 
Mi nimepita si mbali sana,2000-2002.Hakuna ng'ombe tena.Yale mabanda ya nguruwe kule chini kwenye machungwa ndo ilikuwa sehemu ya wasiopenda kuonekana wanasinzia darasani kusomea.Mie mmojawapo.Mama masikio hadi naondoka bado alikuwepo,ila Wibonele ndio alifariki.Matekere alikula masters pale IDM,sasa ni Lecturer Mzumbe university.Mikwala ile ile bado ipo,ukifika unaonyeshwa kitanda chako alafu unaambiwa hapo jamaa aliramba 3 na alikuwa alali.
Kama kawa,wa kutoka mkoani tulikuwa tunapangiwa "Mzumbe day" Shaban Robert,ila badae paligeuka kuwa dili kwa wapenda disco IDM na watu wa msikitini.
Misamiati: Jidi-Msikitini,Nyali-wali,Ngama-ugali,Nyuji-uji,Piriton-Msinziaji darasani,Mbonji-Usingizi,Kufufuka-Kuamka usiku wa manane kusoma,Kuitafuta asubuhi-Kukesha,Salo-Mboga mboga zilizokuwa zinauzwa na akina mama,Vilei-Kilakala girls,Kilaza-Mtu asiye na shule,CG(Central of Gravity)-Mtu anayekuwa wa kwanza.
Una kumbukumbu aisee,though nimegraduate miaka mitatu iliyopita ila nshaanza kusahau vingi,tuliishi katika hard transition period ya Mzumbe
 
Nami nawatafuta wazumbe Calvin Mwaja, Erick Nyakizee(Baba wa taifa la Adrian Mkoba na Mongola) Elton Libongi(Azoge the blind beggar), Samson Mwapwele, John Geselo, Stephen Andrew(Vladimir Khrushchev), Lusekello Swila
hahahaha....umenikubusha mbali san, Mongola na Adrian ndo ilikua mitaa ya Nyakizee ya kujidai
 
Sisi tunamuita "Baba wa taifa la Mongola na Adrian mkoba, mzee wa totoz........"
Humkosi mitaa ya Changarawe na Kilimahewa kule

Mi nilikuwa sivizii mkuu,
Nihangaike kujila wakati nilikuwa na dozen ya sabuni ya jamaa na makopo ya kutosha ya mafuta mgando.
Nilikuwa makamu Mwenyekiti wa Chaputa wakati huo Mwenyekiti Akiwa Fulgence Makayula na Katibu akiwa Calvin Mwaja
Ha ha ha!
Umetisha Mkuu!
 
Nami nawatafuta wazumbe Calvin Mwaja, Erick Nyakizee(Baba wa taifa la Adrian Mkoba na Mongola) Elton Libongi(Azoge the blind beggar), Samson Mwapwele, John Geselo, Stephen Andrew(Vladimir Khrushchev), Lusekello Swila
John Geselo aliyemaliza Azania ambaye kwa sasa ni mjeda ,namba yake ninayo , ni pm yako .
 
Back
Top Bottom