GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Kwa Mateso waliopitishwa wana Tunduma sikutegemea kama kuna Chadema tena, Lakini cha kushangaza watu wamefurika kwa shangwe kwenye mkutano wa chadema, Furaha na nderamo kama vile watu wao hawakubambikiwa kesi zetu zile za mchongo
Sehemu za watu wanaojielewa hasa kwenye miji mikubwa na majiji, kwao Chadema ni imani, Chadema ni itikadi na chadema ni mioyo yao
Hakika kung'oa bendera za Chadema barabarani na kwenye miti mwaka 2020 kwenye uchaguzi mkuu, Walisahau kwamba Chadema imekaa kwenye mioyo ya watu na sio kwenye bendera za barabarani
Salute kwa wana Tunduma mmeonyesha siasa ni mioyo yenu wala sio kwa kupelekwa au kutekwa
Miji kama Mbeya, Arusha na Dar es Salaam kwenye uchaguzi halali na Tume huru CCM hatuwezi kutoboa kwenye maeneo hayo hata udiwani tunakosa
Hayo maeneo ya Tunduma Mbeya watu walishaamua kuwa wao ni Chadema sio kwa lile vibe la Leo
Sehemu za watu wanaojielewa hasa kwenye miji mikubwa na majiji, kwao Chadema ni imani, Chadema ni itikadi na chadema ni mioyo yao
Hakika kung'oa bendera za Chadema barabarani na kwenye miti mwaka 2020 kwenye uchaguzi mkuu, Walisahau kwamba Chadema imekaa kwenye mioyo ya watu na sio kwenye bendera za barabarani
Salute kwa wana Tunduma mmeonyesha siasa ni mioyo yenu wala sio kwa kupelekwa au kutekwa
Miji kama Mbeya, Arusha na Dar es Salaam kwenye uchaguzi halali na Tume huru CCM hatuwezi kutoboa kwenye maeneo hayo hata udiwani tunakosa
Hayo maeneo ya Tunduma Mbeya watu walishaamua kuwa wao ni Chadema sio kwa lile vibe la Leo