Kwanza Machame hakuna mji. Machame ni tarafa ambao mji wake ni Boma ngombe wilaya ya Hai.Nimepita kijiji au tuseme mji wa Lupaso kiukweli hali yao ya kimaendeleo ni ya kawaida kabisa...
Eneo fulani kutoa raisi si kigezo cha kuendelezwa kwa mji eneo hilo, Butiama walitoa rais wa kwanza sijawahi kusikia kwamba kuna mji wa Butiama.