Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
ngoja nilale, usiku mwema. Haa haa haaWatakuja kujibu bado wanatoa funza miguuni, hivi unajua kongwa kuna funza na chawa za kutosha nchi ngumu hii acha kabisa
ngoja nilale, usiku mwema. Haa haa haaWatakuja kujibu bado wanatoa funza miguuni, hivi unajua kongwa kuna funza na chawa za kutosha nchi ngumu hii acha kabisa
Porini kuna majani sasa kwa ukame huu majani si yalikuwa makavu., Na magunzi wanatoa wapi!
Si wananiambia eti mimi ni mkorofi kama Rais wetu Magufuli!!Wewe mwenyewe huwezi kujijua wanao kutizama ndiyo wanajua kama ulishazama topeni
mikoa ya pwani ilichelewa sana kutokana na kukumbatia tamaduni za kiarabu.
Rais Mkapa alioa uchagani akazidiwa akili na wachaga. Mimi nimeoa huko lakini nimekuwa mwangalifu sana. Chezea wachaga wewe!
Ha ha ha kwani hakuna nyoka humo porini?
Hivi unaijua nyumba ya B.M iliyopo pale masasi mjini?Nimepita kijiji au tuseme mji wa Lupaso kiukweli hali yao ya kimaendeleo ni ya kawaida kabisa.
Ahsante Wana Lupaso kwa ukarimu wenu.
RIP Mkapa.
Maendeleo hayana vyama!
Upo maeneo hayo mkuu?Ni mfumo wa maisha, jamii nyingi hazina ujamaa wala ushindani wa maendeleo! kuna mahala ukipata basi unajitafutia matatizo!!! Pia Jografia ya eneo husika kule napo pembezoni mno japo zamani ndio kulikuaga kumeendelea mana pana mission...
wewe ushalishwa limbwata bw mdogo. Huyo mkeo siku akikuuUfooo Sarro ndio utajua kwanini wazazi wako na ndugu zako walikuonya usioe hao watu. Na kwa kusifia huko hata wewe utaishia kujenga ukweni na huko kwenu Musoma patabaki magofu daima.Mimi pia nimeoa Uchagani, lakini kiukweli hawa wakina Bwashee walifunguka macho mapema sana. Kama ni kitangulia kimaendeleo na kiustaarabu kwa kuwalinganisha na jamii zingine, basi ninakiri wapo mbele sana...
Akaenda kujenga Lushoto, ili awe ananebeshwa vizuri mizigo kuelekea Moshi.Rais Mkapa alioa uchagani akazidiwa akili na wachaga. Mimi nimeoa huko lakini nimekuwa mwangalifu sana. Chezea wachaga wewe!
Nje ya madaMaCHADEMA hata kujenga room moja ya ofisi miaka 30 yameshindwa. Yananyang’anyana tu ruzuku kama mafisi. Makao makuu yao pagala bovu.
Hongera mchaga halisiMimi pia nimeoa Uchagani, lakini kiukweli hawa wakina Bwashee walifunguka macho mapema sana. Kama ni kitangulia kimaendeleo na kiustaarabu kwa kuwalinganisha na jamii zingine, basi ninakiri wapo mbele sana...
Kwa hiyo ni sera ya andunje,utake usitake atakwambia ukajielezeKongwa ndio bado wanakunya porini na kutawazia magunzi ya mahindi
ndio mkuuUpo maeneo hayo mkuu?
Hiyo ni sehemu ambayo wananchi wake wengi ni wajinga na wavivu snNimepita kijiji au tuseme mji wa Lupaso kiukweli hali yao ya kimaendeleo ni ya kawaida kabisa.
Ahsante Wana Lupaso kwa ukarimu wenu.
RIP Mkapa.
Maendeleo hayana vyama!
Ooh, nitakutafuta mkuu