Nilichogundua watangazaji wengi wa kike ni malaya
Yule demu bana hajielewi kabisa afu hajiamini ndo mana anavaa kibamed muda wote
Mm sijaiona ila alikuwa anaboa kila picha kuyaonesha loh had aibuHivi umeona video akihojiwa kuhusu mavuzi? Onyo lisingesaidia Bora wamemtimua kumaintain brand yao.
Teh teh teh....ajira zingezingatia nidhamu na weledi haya yasingetokea yaani kana Fanya upuuzi mweehMm sijaiona ila alikuwa anaboa kila picha kuyaonesha loh had aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora usione utaishia kuona aibuMm sijaiona ila alikuwa anaboa kila picha kuyaonesha loh had aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikutana naye live kama kibibi vile..
Alijisahau sana,,niwapongeze wenye kampuni kwakufanyakaz nzuriKumbe ni mtangazaji? Binafsi nilivyoona video anazungumzia mavuzi nilisikia sana nikajiweka hivi hana wazazi au ndugu? Kama kweli amefukuzwa itakuwa vizuri, apokelewe clouds au wasafi wasiojali Mambo ya kipumbavu.
namsoma kitambo hicho tangia anasoma AshiraUkikutana naye live kama kibibi vile..
Asante kwa idea but Mimi nikianzisha Uzi sipati wachangiaji
Huyu shuzy kabla ya eatv alikua clouds kipindi cha jmosi jioni kilikua kinapiga masebeneKumbe ni mtangazaji? Binafsi nilivyoona video anazungumzia mavuzi nilisikitika sana nikajiuliza hivi hana wazazi au ndugu? Kama kweli amefukuzwa itakuwa vizuri, apokelewe clouds au wasafi wasiojali Mambo ya kipumbavu.
unachanganya,wa clouds anaitwa suzy baltazary mtoto wa yule mwanamuziki wa zamani abel baltazari siyo huyu haka cha juzi,kalinikera sana na ile picha yake anaonyesha makwapa hayajanyolewa mara akaanza kuongeleza kwanmba kafuga mavuzi sijui akinyoa ni kero ..dahHuyu shuzy kabla ya eatv alikua clouds kipindi cha jmosi jioni kilikua kinapiga masebene
Sent using Jamii Forums mobile app
hii profile picture yako imenikumbusha mbali mnoTumeni hata picha si wengine story za kimbeya hatuzielewi
Sent using iphone
nimecheka sana duhMtaje Kwa majina kama kweli unafanya hip hop
Sent using Jamii Forums mobile app
Imenifurahisha sana, umenikumbusha omuka.Ma Suzana?!?!!?
Wahaya tunaharibu saaana majina.
Utasikia Bwentina badala ya Adventina
Au
Byatiligisi badala ya Beatrice
Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk