cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,455
- 137,076
Huyo ananichokonoa tyuuh, utadhan nimemuibia basha wake.
Huyo ananichokonoa tyuuh, utadhan nimemuibia basha wake.
Hajaacha badoMw
Mwenye vyeti vyake vya saikolojia Mjini ameacha?
Daah. Anajichora kule insta kumbe wanamparamia?Hajaacha bado
wee dea mchokozi huhuhuhHajaacha bado
Mkuu unapenda hizi mambos😂😂vipi kuhusu ben kinyaiya vipi yeye hayupo kwenye chama?
tuheshimiane mzeeMkuu unapenda hizi mambos
Sema nikupe namba yake kabisa
khaaaah wenzako hao wote wanaozungumziwa wako ndani ya ndoa zao.Alaf mnazingua mnasema wako insta sijui nini si mlete maevidence ya mapicha yao au maa/c yao tukajioneee kama vipi nawengine tuzame humo mandichi bablei tukawasakule kama wako na madololoo yakutosha
Kubali kupewa no yake acha kuvunga hapa lol, ila jua ni mke wa mtu ooooh.tuheshimiane mzee
Kubali kupewa no yake acha kuvunga hapa lol, ila jua ni mke wa mtu ooooh.
Ndoa ya men kwa men kibongo bongo haikogo bablei ni uko ma mbele uko hapa unachakula tu hata kama yuko kwa relationshipkhaaaah wenzako hao wote wanaozungumziwa wako ndani ya ndoa zao.
Inategemea na mtu, wengine ni waaminifu mno, huwezi kumpata lol.Ndoa ya men kwa men kibongo bongo haikogo bablei ni uko ma mbele uko hapa unachakula tu hata kama yuko kwa relationship
Vipi hutaki kuchepuka na mke wa mtu? Si mnasemaga watamu lol,
Huyo ananichokonoa tyuuh, utadhan nimemuibia basha wake.
Asalaleh...!Mwanasaikolojia mkuu mwenye vyeti vyake kama vyote nasikia wanamtaiti mpaka anatafuna godoro kwa utamu
SubutuInategemea na mtu, wengine ni waaminifu mno, huwezi kumpata lol.
Mie ndo nakuambia sasa hivyo.Subutu
nini weeh