Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,523
- 16,575
huyu analewa na sifa za kijinga anazopewa mtandaoni kwa story zake za kuunga unga.Hope humjui vzr jux aiseee,mamaake balozi wa nchi Gani?bmkubwa wake yupo bandarii.mnakuza mambo sana nyie watu.jux namjua kabla hajawa msanii nimekuwa nae nimesoma shule nae mojaa happy skilful nowdayz inaitwa ambassador ipo segerea.naweza kumtetea jux hata kwa haya unayoandika nahisi nayo umesimuliwa tu.