baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 2,987
- 3,720
Hapa umeniacha tutani , umeandika kaka yako warumi halafu mbele ukamalizia Dada yako warumiNakujua toka enzi zilee unaenda dirishani kwa diamond na wema kufuata umbea, enzi zile ulitafuta msiba wa kuambiana ulipo ukaupata Ukaenda kulala msibani ili upate umbea.... Kaka angu warumi we kiboko, yani hakuna kama wewe dadangu
Naomba unifungulie hii code