Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,449
Huyu naye ndo maana alikimbiwa na madam.Wanamnaniliu mno wamhurumie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu naye ndo maana alikimbiwa na madam.Wanamnaniliu mno wamhurumie
Wee..Sema hawa jamaa kweli hapo Hyatt kama nyumbani ila sidhani kama jamaa anawafumua, itakuwa jamaa ana socialize tuu na wasanii
Huyu nae imekuaje?
Binamu unamaana Jux ameshapoteza marinda?
Ati nini?Sina uhakika kama anafanywa, but anafanya wenzie
Kwani hujui kama jamaa mchicha mwiba au..Huyu nae imekuaje?
Huyu naye ndo maana alikimbiwa na madam.Wanamnaniliu mno wamhurumie
Hautoshi kabisa mweehMuda tu,ndio mchache
Kwani hujui kama jamaa mchicha mwiba au..
Hizi ndiyo picha wanazopeleka Ulaya kuhusu AfrikaMimi hiyo picha hapo nyuma ya manager ndio imenishangaza. Yani hapo hotelini kwake tu ndio classy, ila kwingine ndio kunafanania na hiyo picha?
Unashangaa wazungu wakifika huku mwisho ni hapo hotelini tu..wakivuta picha ya hiyo picha hapo unadhani watajichanganya mtaani huku?Hizi ndiyo picha wanazopeleka Ulaya kuhusu Afrika
Binamu yangu kipenzi code acha ipigwe kwenye kompyuta, huku weka mambo masuala ya kujaza code utafikiri find x kwenye hesabu hatupendi, sie wasomaji raha kutirirka, sio ifike pointi uanze kuunga dot, zikigoma unaendelea mpaka kufika mwisho wa uzi umeambulia 70 katika 100 kama tunapiga pepa ya physics bwana..Nsachoka ma code mie mxieew raha ya umbea uweke mambo hadharani, maana kuna kitu kimenikaba kooniView attachment 1093918
Sawa code master mie niliambulia jyx,neddy na v money tu!!!Jux,Neddy Music,Cyrill Kamikaze Maina kageni,V money..nimemaliza
Jax, kama hujaelewa kaushaSukari ya warembo ndo Nani?
Sepetukanga.Madam yupi?