Mji mzito huu part 2

Nsachoka ma code mie mxieew raha ya umbea uweke mambo hadharani, maana kuna kitu kimenikaba kooniView attachment 1093918
Binamu yangu kipenzi code acha ipigwe kwenye kompyuta, huku weka mambo masuala ya kujaza code utafikiri find x kwenye hesabu hatupendi, sie wasomaji raha kutirirka, sio ifike pointi uanze kuunga dot, zikigoma unaendelea mpaka kufika mwisho wa uzi umeambulia 70 katika 100 kama tunapiga pepa ya physics bwana..

We mwenyewe jina lako code tosha.

Niko usingizi lakin binamu, sijui naota.
Hahaa...!!!
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom