Mji mkuu wa Tanzania ni upi?

<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>
BuNIRzvIQAAjWFk.jpg:large


<s>#</s>Dodoma is such a cool & nice city! <s>#</s>Tanzania's capital...
 
Karibu Nchi zote duniani zina Mji Mkuu. Kwa Nchi ya Tanzania bado haijaeleweka vema. .Je kuna matamko yoyote ya Serikali hii mpya ya kuwa na Mji Mkuu utakao tambulika utakua wapi?

Mawazo ya kuhamia Dodoma yalinzia mwaka 1973 na kuanzishwa Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu. Hadi mwaka huu wa 2016 jitihada ni kiduchu. Kwa awamu hii juhudi za maendeleo tunazisikia kuleeee kwenye jiji lileeeee.

Dodoma wanasema ni ya CCM na BUNGE. Hata LAPF walisha hamisha ofisi kuu. Ni vema tuwe na Makao Makuu yasiyo hewa.

Labda yangehamia kuleeeee.
 
Kuna kauli za kuanza kuandika Muswada wa Sheria ya Makao Makuu lakini kwa mbaaaaaaali saaaaaana. Na kwa kuwa miradi mingi na vipaumbele vingi vinaelekezwa kwenye lileeeee jiji letu hili jambo litapigwa danadana sana. Ila wameweka kwenye ilani ya CCM, tusubiri utekelezaji wa hiyo ilani kama Mungu atawapa ufahamu wahusika.
 
Kuna kauli za kuanza kuandika Muswada wa Sheria ya Makao Makuu lakini kwa mbaaaaaaali saaaaaana. Na kwa kuwa miradi mingi na vipaumbele vingi vinaelekezwa kwenye lileeeee jiji letu hili jambo litapigwa danadana sana. Ila wameweka kwenye ilani ya CCM, tusubiri utekelezaji wa hiyo ilani kama Mungu atawapa ufahamu wahusika.

Na viongozi wengi labda watatoka kuleeeee kwetu kuzuuuuriiiiii.
 
Nafikiria kuifungulia serikali mashitaka kwa kudanganya kuwa ingehamia Dodoma tangu miaka ya 1980, ikalazimisha michango na makato ya lazima kwenye mazao tuliyokuwa tukiuza kwenye vyama vya ushirika enzi zile, lakini kumbe ilikuwa ghiliba tu.

Leo tunaambiwa Dar sio makao makuu ila Dodoma while ni uongo mtakatifu.

Ikulu ingehamia Dom pia wizara zote zingehamia pale na tatizo sugu la foleni za Dar lingepungua kwa % mkubwa sana.
 
HHii nchi ni ya ajabu kweli. Mashuleni wanafunzi wanafundishwa makao makuu
ni Dodoma. Hili tu linatosha kufanya wanafunzi kuwa hawaelimiki. Maana kama nchi inafundhisha uongo
 
Mkuu hata mimi sijui, nilikuwa najua Dom ila nikashangaa Waziri mkuu akisema Dom kisheria sio mji mkuu.
 
Back
Top Bottom