Bukanga
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 2,857
- 1,936
Pamoja na manispaa ya Dodoma kukusanya shilingi 165,163,000 katika kituo cha daladala mkoani hapa kwa kipindi cha mwaka mzima bado kituo hiki kinakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo kutuama kwa maji ya mvua pindi itakaponyesha ikiwemo ukosefu wa mabanda ya kupumzikia abiria kijikinga na mvua au jua kali.
M4C should do the needful here!!
Sosi; Mjengwablog.