Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
Baada ya Usa-River kupata hadhi ya kuwa Mji Mdogo, Serikali imepanga kufanya uchaguzi baada ya Wenyeviti waliopo madarakani kumaliza muda wao kisheria.
Kwa hiyo:-
1. Mchakato wa vyama kupata wagombea unaanza leo 04.10.2012 na kukamilika 11.10.2012.
2. Uandikishaji wapiga kura itakuwa ni 17.10.2012 hadi 23.10.2012
3. Kampeni za Wagombea ni kwa siku saba kuanzia 28.10 hadi 03.11.2012
4. Siku ya uchaguzi itakuwa 04.11.2012
Vyama vya siasa vinavyotarajiwa kusimamisha wagombea ni Vyama Nane. AFP, CCM, CHADEMA, DP, NRA, SAU, TLP na UPDP.
CHADEMA NA CCM NANI ZAIDI KATIKA UCHAGUZI HUU?
Source: Ratiba ya Uchaguzi toka Mamlaka ya Mji Mdogo Usa-River
Kwa hiyo:-
1. Mchakato wa vyama kupata wagombea unaanza leo 04.10.2012 na kukamilika 11.10.2012.
2. Uandikishaji wapiga kura itakuwa ni 17.10.2012 hadi 23.10.2012
3. Kampeni za Wagombea ni kwa siku saba kuanzia 28.10 hadi 03.11.2012
4. Siku ya uchaguzi itakuwa 04.11.2012
Vyama vya siasa vinavyotarajiwa kusimamisha wagombea ni Vyama Nane. AFP, CCM, CHADEMA, DP, NRA, SAU, TLP na UPDP.
CHADEMA NA CCM NANI ZAIDI KATIKA UCHAGUZI HUU?
Source: Ratiba ya Uchaguzi toka Mamlaka ya Mji Mdogo Usa-River