Kifupi usemi huu maarufu umetokana na maudhui yaliyotumiwa ktk vibwagizo vya nyimbo za muziki za aliyekuwa msanii maarufu nchini marehemu Mbaraka Mwishehe aliyekuwa kiongozi wa bendi mashuhuri enzi hizo ya Super Volkano iliyokuwa na makazi yake mjini Morogoro. Msanii huyu alikuwa na mapenzi makubwa sana na mji wa Moro na alichangia sana kuu-promote kupitia nyimbo zake zilizokuwa zikipendwa sana Afrika mashariki yote. Nuru ya msanii huyu aliyekuwa kipenzi cha wengi Ilizima ghafla baada ya kupata ajali na kufariki akiwa ziarani nchini Kenya.Wakija pia wanioneshe na ziwa lililopo huko
Chanzo chake ni marehemu Mbaraka Mwinshehe alitunga wimbo kusifia ule mji kuwa una kila kitu kasoro bahariKuna miji mingi hapa nchini ambayo haijapakana bahari lakini haiitwi miji kasoro bahari. Kwa ajuae, asili ya mji wa Morogoro kuita Mji kasoro bahari anijuze tafadhali.
Hapo umeeleweka sana mpotevu wa jfChanzo chake ni marehemu Mbaraka Mwinshehe alitunga wimbo kusifia ule mji kuwa una kila kitu kasoro bahari
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Back furu furuHapo umeeleweka sana mpotevu wa jf
nifuate instagram.utajua mengi (morogo yetu)Kifupi usemi huu maarufu umetokana na maudhui yaliyotumiwa ktk vibwagizo vya nyimbo za muziki za aliyekuwa msanii maarufu nchini marehemu Mbaraka Mwishehe aliyekuwa kiongozi wa bendi mashuhuri enzi hizo ya Super Volkano iliyokuwa na makazi yake mjini Morogoro. Msanii huyu alikuwa na mapenzi makubwa sana na mji wa Moro na alichangia sana kuu-promote kupitia nyimbo zake zilizokuwa zikipendwa sana Afrika mashariki yote. Nuru ya msanii huyu aliyekuwa kipenzi cha wengi Ilizima ghafla baada ya kupata ajali na kufariki akiwa ziarani nchini Kenya.
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Jiji kwani lazima liwe na bahari?Mji kasoro bahari. Wanasema Ni mkoa wenye sifa zote zakuitwa jiji ila imekosekana bahari ili kujiongezea sifa pale kwenye kuitwa jiji
Ni mwanamuziki Mbaraka Mwinsheshe ndiyo alianza kuiita Moro hivyo katika nyimbo zake.Ni kwanini morogoro a.k.a uitwe mjii kasoro bahari wakati Kuna miji mingi haina bahari
Ulikua usemi maarufu uliotokana na maudhui yaliyotumiwa kama vibwagizo vya nyimbo za muziki za aliyekuwa msanii maarufu nchini marehemu Mbaraka Mwishehe aliyekuwa kiongozi wa bendi mashuhuri enzi hizo ya Super Volkano iliyokuwa na makazi yake mjini Morogoro. Msanii huyu alikuwa na mapenzi makubwa sana na mji wa Moro na alichangia sana kuitangaza Morogoro kupitia nyimbo zake zilizokuwa zikipendwa zaidi Afrika mashariki.Ni kwanini morogoro a.k.a uitwe mjii kasoro bahari wakati Kuna miji mingi haina bahari