Mjeshi ammiminia mkewe risasi

Mzee wa Gumzo

Senior Member
Apr 21, 2008
197
5
Mwanajeshi Dar adaiwa kumuua mkewe kwa kummiminia risasi
2008-07-29 20:47:01

Na Mwanaidi Swedi, Kinondoni
Askari wa Jeshi la Wananchi Kambi ya Lugalo, anadaiwa kumuua mkewe kwa kummiminia risasi kadhaa mwilini, ikiwa ni pamoja na sehemu za kichwani na mkononi.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Mark Kalunguyeye, amesema tukio hilo limetokea jana majira ya saa 3:00 usiku katika eneo la Lugalo ambako askari huyo alikuwa kwenye lindo lake.

Kamanda Kalunguyeye amesema kuwa askari huyo aliyefahamika kwa jina la Bw. Festo Benjamin, akiwa lindoni, mkewe aliamua kumfuata kwa mazungumzo yao.

Aidha, Kamanda Kalunguyeye amesema kuwa inasemekana kuwa katika mazungumzo yao hayo, wapendanao hao walishindwa kuelewana na ndipo askari akaamua kumtwanga risasi ya kichwa na mkononi mkewe huyo na kumuua papohapo.

Kamanda Kalunguyeye amesema baada ya kuona kuwa ameemua mkewe, askari huyo aliamua kujisalimisha mwenyewe Polisi ambapo na hadi sasa anashikiliwa kwa mahijiano zaidi kabla ya hatua za kisheria kufuatia.
• SOURCE: ALASIRI

Taarifa zinaeleza kuwa kutokuelewana kwao kulitokana na mume kubamba meseji za kimapenzi kwenye simu ya waifu.

Mimi nawashauri wanaume wenzangu tuchukue ushauri kwenye "LONGA MWANAMUME" ITV kila jumatano saa tatu kamili.Kwanini ujisababishie mipresha bure?

Aka mie!
 
mmh jamani yaani cjui wivu gani huu mpaka watoa roho ya binadamu mwenzio
 
alifanya uamuzi wa haraka sana, alitakiwa kufanya uchunguzi kwanza. wanawake wengi huwa wanaandikiwa meseji za mapenzi hata kama yeye hajamkubali jamaa. ile tu namba yake ya simu kuwa imeenea, inaweza ikatokea mtu from no where anaandika msg ya mapenzi kwake. labda kama aliikuta meseji ambayo mkewe alikuwa amemtumia mtu ya kimapenzi na sio ile ambayo yeye mwanamke aliandikiwa. kama mkewwe ndo aliyeandika basi lolote lingeweza kutokea ikiwa yeye alikuwa ameshika mtutu(si alimfuata kule kazini?), inaonyesha kama angekuwa na panga angempiga nalo panga,kama angekuwa na kusu angampiga na kisu, kama angekuwa na fimbo angempiga na fimbo, na kama hangekuwa na chochote basi angempiga mingumi mingi. hii inategemeana, tusijaji bila kufanya utafiti. tunatakiwa kujua kwanza tabia ya mwanamke na mwenendo wake huyo mwanamke kipindi cha nyuma, labda alishaonywa sana na alipokuja kuona hiyo msg ndo jamaa anawa provoked gafla. najua hata yeye mwenyewe pamoja na kwamba anaweza akawa ameshaua, anajilaumu kwamba kwanini amempotezea mwenzie maisha. hakuna mtu anaependa kuua mtu, ila inaweza kutokea tu pale kama mtu amezidiwa na hasiri,ndo maana wanasema hasira hasara. kwahiyo kinachoua pale sio yeye, bali ni hasira, atakuja kujielewa badae akili zikimrudi.

when a person is in a heat of anger he may commit anything and if the judge is well convinced that the person was provoced, the doctrine of provocation may apply and he will be charged of manslaughter and not murder. inachukuliwa kuwa, sio yeye aliyefanya hivyo, ni hasira yake, lakini kumkomvince judge ni ngumu sana, anahitaji wanasheria waliosoma vizuri, na atatakiwa akusanye evidence zenye akili.

kuna jamaa mmoja nae, alishawai fanya hivyohivyo, mara nyingi sana likuwa anamwonya mkewe aache tabia chafu. kuna siku alikuja kuikuta meseji chafu sana, gafla alimpiga na kumvunja kabisa. in order for provocation to be presumed, the act need to have done right on the sport, haitakiwi ipewe nafasi, asiwe alikuwa ameanza kumwuliza maswali na kudadisi etc, iwe tu pale alipoiona msg akamimimina risasi. haitakiwi kuwa na nafasi yoyote ile inayoipa hasira nafasi yakupungua, the heat of anger needs to be the same from the start of the interraction to the end,ikionekana kuwa kulikuwa na mazingira jamaa alikuwa na nafasi ya hasira yake kupungua walau kidogo lakini aliendelea kumwua, basi atapigwakifungo cha maisha mshikaji.
 
ufahari wa shetani huo ... majuto mjuku ... haya sasa subiri hukumu ya dunia na akhera ... ungeondoka tu na kumwacha ungekuwa shujaa ... sasa wavuliwa kila kitu .. heshima na hadhi mbele ya jamii .. unaitwa muuaji .. kwa kosa la nani .. lako mwenyewe au lake????
 
dada, anaweza akatoka, anaweza akairuka hiyo kesi na akawa huru kabisa kama atatoa vigezo vinavyomfanya aangukie kwenye provocation. mimi na wewe hatujui mazingira yalikuwaje, tumesikia tu kwenye vyombo vya habari juu ya hili, hatujui mazingira halisi yalikuwaje na yeye atatoa ushahidi gani kujitetea. kama hana sababu,adhabu ya murder ni kifo, kwani unafikiri hakulijua hili? alilijua na asingekuwa nasababu angejiua mwenyewe palepale ili kuepuka msala,si alikuwa na bunduki...au unafikiri alirukwa na akili.

hili liwe fundisho kwa pande zote mbili.kwa wanawake kama wewe na kwa wanaume pia. unavyoongea unaonyesha na wewe u mzuri sana wa kucheat kwa mme wako,ndomaana unafeel kuwa hata wewe ungeangukia kwenye kichapo hicho kama mme wako angekukuta. ndo maana hauujui uchungu wa kuibiwa mke.inauma sana, hadi sheria inatreat as special thing kwenye mambo haya ya love. kesi zake huwazinafanywa kwa umakini wa hali ya juu kwasababu mapenzi yana wivu mkali kupindikia, mtu anawezaakawa tayari kwa lolote kama anaibiwa na sheria inataka kumlinda huyu mtu. jaji mwenyewe ni dhaifu kwa mapenzi, anaweza akafanya lolote kama ameibiwa mke. lakini huwa haiumi sanakama wote mnacheat,hkuna wa kumlaumu, kama mmoja ndo mwizi, alo lazima akufanyie.
 
dada, anaweza akatoka, anaweza akairuka hiyo kesi na akawa huru kabisa kama atatoa vigezo vinavyomfanya aangukie kwenye provocation. mimi na wewe hatujui mazingira yalikuwaje, tumesikia tu kwenye vyombo vya habari juu ya hili, hatujui mazingira halisi yalikuwaje na yeye atatoa ushahidi gani kujitetea. kama hana sababu,adhabu ya murder ni kifo, kwani unafikiri hakulijua hili? alilijua na asingekuwa nasababu angejiua mwenyewe palepale ili kuepuka msala,si alikuwa na bunduki...au unafikiri alirukwa na akili.

hili liwe fundisho kwa pande zote mbili.kwa wanawake kama wewe na kwa wanaume pia. unavyoongea unaonyesha na wewe u mzuri sana wa kucheat kwa mme wako,ndomaana unafeel kuwa hata wewe ungeangukia kwenye kichapo hicho kama mme wako angekukuta. ndo maana hauujui uchungu wa kuibiwa mke.inauma sana, hadi sheria inatreat as special thing kwenye mambo haya ya love. kesi zake huwazinafanywa kwa umakini wa hali ya juu kwasababu mapenzi yana wivu mkali kupindikia, mtu anawezaakawa tayari kwa lolote kama anaibiwa na sheria inataka kumlinda huyu mtu. jaji mwenyewe ni dhaifu kwa mapenzi, anaweza akafanya lolote kama ameibiwa mke. lakini huwa haiumi sanakama wote mnacheat,hkuna wa kumlaumu, kama mmoja ndo mwizi, alo lazima akufanyie.

Jazba hiyo bwana hebu punguza munkari ... hujui hasira ni khasara tena ni kitu kibaya sana .. unaona hapo tu umeshatuhukumu kwamba hatujui uchungu wa kuibiwa mke ... wala hujafikiria kwamba mimi ni mwanamke nami najua uchungu wa kuibiwa mme ... taratibu mwaya usije ukaniua na mimi chonde chonde

Kuwa na subra, hekima na busara itakuokoa na mengi hata kama ataachiwa unafikiri watu wote watamwamini tena doa ni doa bwana ... huenda akalishafisha kwa mda mrefu na lisitoke
 
This is madness! Angemfumania kwenye tendo la ndoa angemfanya nini?
Nasikia jamaa ni Mngoni. Wangoni wakoje, unaweza kukuta ndo wenye kuoa wake wengi!

Risasi moja huenda ningemfikiria, lakini risasi 14, duh! Utata huu.
Kwa kawaida mtu anayeua kwa sababu ya jazba kumpanda, kwa idadi ya risasi alizofyatua, naamini angejishtukia na tena angejilipua na yeye.

Swali la kwanza ningeuliza, je kuna risasi zilibaki kwenye mtutu?!
Huyu jamaa labda akutwe ana ugonjwa wa akili. Tofauti na hapo hawezi kukwepa kufungwa maisha. (Death penalty bado ipo TZ?)

Jeshi la polisi lina wanasaikolojia?




.
 
anaweza,akatoka.mimi naweza nikamsimamia hadi akatoka. leteni hiyo kesi kwangu nile hela. kama alimimina risasi 14 zote hizo, basi hiyo hasira ilikuwa kubwa sana. kuna uwezekano mkuwa kuwa ni provocation.manake alishikilia tuu na kufyatua hadi zilipoisha. only lawyers who know about this should argue, watu ambao sio malawyer ni vigumu kuelewa. ila inawezekana. inategemeana na jinsi mtu atakavyo present defence yake.
 
anaweza,akatoka.mimi naweza nikamsimamia hadi akatoka. leteni hiyo kesi kwangu nile hela. kama alimimina risasi 14 zote hizo, basi hiyo hasira ilikuwa kubwa sana. kuna uwezekano mkuwa kuwa ni provocation.manake alishikilia tuu na kufyatua hadi zilipoisha. only lawyers who know about this should argue, watu ambao sio malawyer ni vigumu kuelewa. ila inawezekana. inategemeana na jinsi mtu atakavyo present defence yake.


alaaaaaaaaaaaaaa kumbe????? hapo juu umeshatukana .... unaona mfano mdogo tu .... Mungu akupe subra ndugu yangu
 
Aidha, Kamanda Kalunguyeye amesema kuwa inasemekana kuwa katika mazungumzo yao hayo, wapendanao hao walishindwa kuelewana na ndipo askari akaamua kumtwanga risasi ya kichwa na mkononi mkewe huyo na kumuua papohapo.

Kamanda anaanza kuongelea mambo yanayosemekana? Kamanda analeta speculations? Kamanda anatakiwa aje na facts tu, kama hana facts aseme tu kwa sasa uchunguzi unaendelea.

Hajui maneno kama haya ambayo yanachapishwa na gazeti yanaweza kumkosesha mtu fair trial? Au yanaweza kumpa muuaji grounds za kuanza kulalamika na hivyo kumuonyesha kama kaonewa?

Katika kitabu cha Sidney Sheldon "Rage of Angels" Michael Moretti a Mafia Don, anashinda kesi ambayo clearly alikuwa guilty kwa msaada wa Jennifer Parker, kwa sababu ya technicality ya kupigwa picha na magazeti na kuandikwa vibaya.

I bet kamanda hajasoma "Rage of Angels" or anything remotely similar.

Bongo safari ndefu.
 
Kamanda anaanza kuongelea mambo yanayosemekana? Kamanda analeta speculations? Kamanda anatakiwa aje na facts tu, kama hana facts aseme tu kwa sasa uchunguzi unaendelea.

Hajui maneno kama haya ambayo yanachapishwa na gazeti yanaweza kumkosesha mtu fair trial? Au yanaweza kumpa muuaji grounds za kuanza kulalamika na hivyo kumuonyesha kama kaonewa?

Katika kitabu cha Sidney Sheldon "Rage of Angels" Michael Moretti a Mafia Don, anashinda kesi ambayo clearly alikuwa guilty kwa msaada wa Jennifer Parker, kwa sababu ya technicality ya kupigwa picha na magazeti na kuandikwa vibaya.

I bet kamanda hajasoma "Rage of Angels" or anything remotely similar.

Bongo safari ndefu.

Kamanda kachemsha big time.

Ila na wewe unapoanza kuleta mifano ya kwenye novel za ki-mafia za Kimarekani pia una haribu. Tupe mifano hai. Na kama inawezekana, mifano inayotoka kwenye jamii ya Kitanzania. Umewahi kusoma kitabu chochote cha Kitanzania au wewe ni vile vya wa kina John Adams, Thomas Payne, Mark Twain na Barack Obama tu? Teach us a little bit of Tanzanian society if you don't mind!
 
Kamanda kachemsha big time.

Ila na wewe unapoanza kuleta mifano ya kwenye novel za ki-mafia za Kimarekani pia una haribu. Tupe mifano hai. Na kama inawezekana, mifano inayotoka kwenye jamii ya Kitanzania. Umewahi kusoma kitabu chochote cha Kitanzania au wewe ni vile vya wa kina John Adams, Thomas Payne, Mark Twain na Barack Obama tu? Teach us a little bit of Tanzanian society if you don't mind!

Tanzania has no "society" to speak of, at least not in literate matters, where am I to draw examples from? Where is our Magna Carta or Bill of Rights?The country is largely illiterate, people do not read, people do not write. Our constitution itself is based on western ideals, so how can you tell me not to borrow and quote from western literature?

The chief justices are prone to gaffes left right and centre, the Police Commissioners talk like sungusungu, the little Shaaban Robert and Agoro Anduru cannot stretch that far, that is why we must look outside.

I am not too proud to admit that.Nationalistic pride will blind austere minds.
 
Tanzania has no "society" to speak of, at least not in literate matters, where am I to draw examples from? Where is our Magna Carta or Bill of Rights?The country is largely illiterate, people do not read, people do not write. Our constitution itself is based on western ideals, so how can you tell me not to borrow and quote from western literature?

The chief justices are prone to gaffes left right and centre, the Police Commissioners talk like sungusungu, the little Shaaban Robert and Agoro Anduru cannot stretch that far, that is why we must look outside.

I am not too proud to admit that.Nationalistic pride will blind austere minds.

.....sounds like a concurrence of Ndivyo Tulivyo.....Lol
 
Pundit anachekesha, analeta mambo ya novel kwenye issue zinazohitaji sheria...hahaha, hapa rafiki ni sheria inayochukua mkondo wake. na ujue huyo jamaa bado hajahukumiwa bado, sheria yaweza kuamua kama hajaua kwa makusudi vilevile. usilete novel, ndo maana zinaitwa novels..hahaha.
 
.....sounds like a concurrence of Ndivyo Tulivyo.....Lol

Not exactly, Ndivyo Tulivyo ina imply kwamba this is an inherent characteristic, kama genetic fulani hivi na hatuwezi kubadilika.

Mimi najua tunaweza kubadilika, ila kwa sasa tuko nyuma sana.
 
Pundit anachekesha, analeta mambo ya novel kwenye issue zinazohitaji sheria...hahaha, hapa rafiki ni sheria inayochukua mkondo wake. na ujue huyo jamaa bado hajahukumiwa bado, sheria yaweza kuamua kama hajaua kwa makusudi vilevile. usilete novel, ndo maana zinaitwa novels..hahaha.

We utamweza Pundit.....mwenzako anaweza akaunganisha kuhusu hayo aliyosema kamanda na Freud, binary, galaxy, milky way n.k.
 
Pundit anachekesha, analeta mambo ya novel kwenye issue zinazohitaji sheria...hahaha, hapa rafiki ni sheria inayochukua mkondo wake. na ujue huyo jamaa bado hajahukumiwa bado, sheria yaweza kuamua kama hajaua kwa makusudi vilevile. usilete novel, ndo maana zinaitwa novels..hahaha.

I doubt that you have the understanding to comprehend the significance of my illustration, or even the idea of illustrations.

Sheria za Marekani, setting ya novel, na za Tanzania, kwenye hii case, zote zina revolve around the idea of a fair trial.

To break it down very simple for you, ni kwamba, kauli za rejareja za kamanda wa polisi zinaweza kufanya kesi iwe ngumu zaidi kwa upande wa mashtaka unnecessarily.Kama mtuhumiwa anapata wakili mzuri kama ilivyokuwa katika ile novel, wakili anaweza kuanzisha zogo kwamba mtuhumiwa wake ameanza kuhukumiwa na kamanda wa polisi, na magazeti yakaeneza speculations bila ya kuwa na facts.

Mfano na hii kesi una common thread, law enforcement wanaoslack katika wajibu wao wa kuweka mazingira ya fairness.This is what matters, it does not matter if you quote from Virgil, Homer, Confucius, Mkwawa, Umsolopagaas, Sidney Sheldon etc, what matters is one thing, is the illustration valid?

Sijui tatizo kuelewa hapa ni nini?
 
Not exactly, Ndivyo Tulivyo ina imply kwamba this is an inherent characteristic, kama genetic fulani hivi na hatuwezi kubadilika.

Mimi najua tunaweza kubadilika, ila kwa sasa tuko nyuma sana.

Tatizo lenu mkisikia maneno "Ndivyo Tulivyo" mnajihisi kinachozungumziwa ni inherent genetic characteristic peke yake....mambo ya utamaduni na yenyewe yamo kwenye mwamvuli wa "Ndivyo Tulivyo". Sasa utamaduni si huwa unabadilika?

Halafu hata kama tuko nyuma umewahi kujiuliza kwa nini tuko nyuma? It could be that we're (a majority of us) slow learners but being a slow learner doesn't mean that eventually you aren't gonna get it. Now slow learning could very well be a genetic trait, do you agree?

Pia umewahi kujiuliza kwa nini wenzetu wako mbali zaidi yetu? Ukisoma hiyo Bill of Rights halafu uangalie imeandikwa lini halafu ulinganishe na sisi jamii zetu kwa wakati huo zilikuwa wapi kimaendeleo you can't help it having a bunch of questions.....
 
...Ndivyo Tulivyo ina imply kwamba this is an inherent characteristic, kama genetic fulani hivi na hatuwezi kubadilika.

I wish jamaa angekuelewa ulichokisema hapo. Sio kukukubalia, ila kukuelewa tu.

Sidhani kama Nyani Ngabu anaelewa maana ya "ndivyo tulivyo." I really don't think he understands it.
 
I wish jamaa angekuelewa ulichokisema hapo. Sio kukukubalia, ila kukuelewa tu.

Sidhani kama Nyani Ngabu anaelewa maana ya "ndivyo tulivyo." I really don't think he understands it.

Wewe ndio hujui ndio maana unakataa kuwa Ndivyo Tulivyo

Jamaa kasema ina "imply"....sasa implication is not an absolute. Kama ina imply hivi pia inaweza ku imply vile.....what part of that don't you understand Kuhani?
 
Back
Top Bottom