Kweli JF ina watu! Ulitaka nani apigiwe makofi ndio hao Watanzania waonekane wana akili kwenye ubongo?
.
...if it doesnt match their talking points,then ur wrong!
Kweli JF ina watu! Ulitaka nani apigiwe makofi ndio hao Watanzania waonekane wana akili kwenye ubongo?
.
Wakuu naona we are missing the point hapa.
Jamaa amedeclare katika opening statement kuwa ni "tathmini yake binafsi",... hajajumuisha watanzania wote kwenye huu mtazamo wake. Sasa huku kufoka povu kote
kunatokea wapi?....
Ofcourse he is entitled to his opinion as an individual,...angekua ametujumuisha watz wote kwenye huo mtazamo wake,... tungekua na haki ya kumshambulia.
I dont necessarily share his opinion but still, nahisi we are missing the point kwa kumtolea personnal attacks as if watu mnataka kusettle nae scores za zamani hapa.
Kina Karl Rove wataendelea kuwepo tu, cha kufanya ni kujenga counter hoja za hiyo
mitazamo yao instead of personal character assasinations.
Ni hayo tu wakuu.
Labda anataka apewe shavu
What point are we missing?Kwani personal opinion haiwezi kuwa wrong?Na personal opinion ikiwa wrong haiwezi kuwa criticized?I think you are the one missing a point kwa kuzungumzia settling old scores as if there was any!
Baada ya kufungiwa Mwanahalisi,Raia Mwema limebaki kuwa weekly pekee la "kuaminika".Misimamo ya akina Johnson Mbwambo,Ayoub Rioba,Ulimwengu,nk inafahamika vizuri.Mjengwa amekuwa anayumba kimsimamo,na makala zake zinaweza kuonekana out of place.Nakumbuka makala yake ya kumkosoa Ansert Ngurumo kuhusu wananchi walioupopoa mawe msafara wa JK huko Mbeya.Kwa hakika haikuwa na mantiki yoyote zaidi ya kupinga hoja za maana za Ngurumo.
Kwa jinsi 2010 inayokaribia kwa kasi,na namna baadhi ya wanasiasa walivyoamua kuwekeza kwenye magazeti,sitashangaa kuona "mashujaa" wengi wakifuata mkumbo wa akina Mjengwa....kula kwa kupitia kalamu zao
Pole mzee naona umechoka sana kapate usingizi ukiamka uje na pendekezo nani anafaa kuwa raisKwa hiyo mnamshauri Mjengwa angeandika Mbowe anafaa kuwa Rais 2010 anatakuwa ana uwezo wa kuchambua?
I think some members wanadhani wanajua sana.laiti wangekuwa na madaraka wangekuwa madikteta kila mmoja anazo opinion zake toa zakwako tukuunge au kukupinga.huu ubishi wa ki-mujahidina haufai.toa hoja kakaWhat point are we missing?Kwani personal opinion haiwezi kuwa wrong?Na personal opinion ikiwa wrong haiwezi kuwa criticized?I think you are the one missing a point kwa kuzungumzia settling old scores as if there was any!
Baada ya kufungiwa Mwanahalisi,Raia Mwema limebaki kuwa weekly pekee la "kuaminika".Misimamo ya akina Johnson Mbwambo,Ayoub Rioba,Ulimwengu,nk inafahamika vizuri.Mjengwa amekuwa anayumba kimsimamo,na makala zake zinaweza kuonekana out of place.Nakumbuka makala yake ya kumkosoa Ansert Ngurumo kuhusu wananchi walioupopoa mawe msafara wa JK huko Mbeya.Kwa hakika haikuwa na mantiki yoyote zaidi ya kupinga hoja za maana za Ngurumo.
Kwa jinsi 2010 inayokaribia kwa kasi,na namna baadhi ya wanasiasa walivyoamua kuwekeza kwenye magazeti,sitashangaa kuona "mashujaa" wengi wakifuata mkumbo wa akina Mjengwa....kula kwa kupitia kalamu zao
Unapata majibu punde namuona mjengwa yuko online anafuatilia thread hii.....karibu mjengwa.Someone please send this link to this Mjengwa fellow
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/17317-urithi-wa-kikwete-na-haiba-iso-sababu.html
Huyu dogo si kwamba kaanza , bali anaendeleza mambo haya alianza way back kabla ya JK hajaukwaa .Mjengwa ni opportunist kama wengine ambao wako kwenye NGO ambazo hawawezi kwenda bila ya longo longo zao.Yeye ana asili ya kujipendekeza hata anaweza kuona mema lakini lazima akamilishe tabia yake.Ni kigeugeu sana lakini kwa JK naona ka stick kiasi fulani .Mjengwa ni wa kupuuzwa maana yeye kila siku analeta picha wananchi wakiwa choka mbaya ghafla JK amekuwa karibu na watu tena ?
Mjengwa Kikwete is abig time manipulator huu sio wakati wa kutumia sura kupata kura, wakati kikwete alipochaguliwa kuwa rais alitembelea hospitali ya Muhimbili kuonyesha he is down to earth watu wakasema yes huyu ndio kweli raisi hawakujua ni mswahili na mjanja anajua watanzania majority hawajui ku analyse issues critically, akikumbatia wagonjwa hata kama wataendelea kulala wawili au watatu kitanda kimoja wataona tu raisi huyu ndiyo mwenyewe...naona Mjengwa ameanza kampeni za Uraisi za Kikwete 2010.
..tatizo ni kwamba hawezi hata kutaja achievement moja ya Kikwete tangu hajaingia madarakani, na mpaka sasa hivi 3 years as the President.
..Mjengwa ameishia kumsifa Kikwete kwa kuwa "karibu" na wananchi kwasababu hutembea kwa miguu kwenye viuchochoro vya Bagamoyo.
..Kikwete yuko karibu na wananchi kwa namna gani wakati aliitelekeza shule yake ya msingi aliposomea? shule hiyo ilionyeshwa ktk gazeti la Uhuru wakati wa kampeni za 2005 ikiwa na hali mbaya imechoka mithili ya zizi la ng'ombe.
..halafu kidogo kidogo Mjengwa anachombeza kuhusu hizi kesi mbuzi zilizofunguliwa majuzi na serikali. inavyoelekea zimempa imani kubwa sana na utawala wa Kikwete.
..Mjengwa anasahau kwamba Kikwete alimteua Chenge kuwa waziri wa afrika mashariki, baadaye akafanya mabadiliko na kumpeleka miundo mbinu. Kikwete huyo huyo alimteua Basili Mramba mara mbili ktk baraza lake la mawaziri. Baada ya Dr.Msabaha kuvuruga Nishati, Kikwete akajaribu kumficha wizara ya afrika mashariki. zaidi, kulifanyika mabadiliko mawili ya makatibu wakuu na yote hayakumgusa Gray Mgonja.
..sasa hii imani ya Majid Mjengwa kwa uongozi wa Raisi Kikwete inatoka wapi?
..Watanzania kwanini tunakumbukumbu fupi namna hii?
1.Jamaa amedeclare katika opening statement kuwa ni "tathmini yake binafsi",...
2.hajajumuisha watanzania wote kwenye huu mtazamo wake. Sasa huku kufoka povu kote kunatokea wapi?....
3. Ofcourse he is entitled to his opinion as an individual,...angekua ametujumuisha watz wote kwenye huo mtazamo wake,... tungekua na haki ya kumshambulia.
4.I dont necessarily share his opinion but still, nahisi we are missing the point kwa kumtolea personnal attacks
5.cha kufanya ni kujenga counter hoja za hiyo mitazamo yao instead of personal character assasinations.
Nafahamu kuwa hii ni tathmini itakayowakera baadhi humu mtandaoni, lakini najisikia huru na kuona umuhimu wa kuandika tathmini yangu hii kwa madhumuni ya kuchochea mjadala na kujifunza pia. Ni ukweli, kuwa ukweli mwingine unahuzunisha, lakini ni lazima usemwe. Maana, ukweli ni uhuru pia.