Elections 2010 Mjengwa Huyu Hapa

Mtu66

Senior Member
Jun 26, 2007
165
3
Comments za Mjengwa hizi hapa

IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA!

Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha nyuma Mama Monica Mbega (CCM). CHADEMA pia imepata kiti komoja cha udiwani, hivyo basi itakuwa na madiwani wawili, maana, mbunge, kwa nafasi yake, naye ni diwani

Huyu Jamaa anaumwa CCM nini?
 
Mwanaharakati mmoja anapobadili msimamo kurudia asichokiamini ni dhambi kuu isiyosameheka..Peponi utakosa nafasi na Ahera..Mjengwa ni Msaliti
 
Back
Top Bottom