Mtu66
Senior Member
- Jun 26, 2007
- 165
- 3
Comments za Mjengwa hizi hapa
IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA!
Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha nyuma Mama Monica Mbega (CCM). CHADEMA pia imepata kiti komoja cha udiwani, hivyo basi itakuwa na madiwani wawili, maana, mbunge, kwa nafasi yake, naye ni diwani
Huyu Jamaa anaumwa CCM nini?
IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA!
Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha nyuma Mama Monica Mbega (CCM). CHADEMA pia imepata kiti komoja cha udiwani, hivyo basi itakuwa na madiwani wawili, maana, mbunge, kwa nafasi yake, naye ni diwani
Huyu Jamaa anaumwa CCM nini?