Mjengo atakao kuwa anapiga mzigo .... Tido mhando....magamba...kwishney na tbc yao!

Mungu mkubwa! Wakati mwingine ukiporwa kitu kizuri inabidi usisikitike kwa kuwa inawezekana Mungu ana mpango wa kukuhamishia mahala pazuri zaidi!
 
mkataba kati ya TBC na tido ulifia kikomo na wala hajafukuzwa kazi bali mkataba uliisha na swala la kuongeza mkataba ni kazi ya muajiri hebu tujadili mambo kisayansi na siyo kama tupo kwenye mabaraza ya kahawa na club za pombe.....happy weekend wadau

Kadanganye wale watoto wa chekechea uliozoea kuwadanganya kwamba mtoto hazaliwi bali huokotwa kwenye mzinga wa nyuki.

Halafu waombe radhi wauza kahawa na wanaokutana kwenye vilabu kwani huko ndiko chimbuko la mawazo mbadala pia huko vilabuni ndiko serikali inapata kodi nyingi za kuongoza nchi ikiwa ni pamoja na kujenga lami unazopita. Habu angalia kodi zinazoongezwa kila siku kwenye vinywaji acha kufikiri kama umelalia jiwe mkuu.
 
Harafu tukija tunalalama eti watalaam wanakimbia nchi...wanaenda Ulaya au nchi za ng'ambo... Kuumbe viongozi wetu ndo wanawakatisha tamaa. Wapo wasomi wengi wa Kitanzania nchi za nje wenye uwezo wa kubadirisha nchi lakini ikija kwenye mambo kama yaliyompata kaka Mhando...wanasita hata kufikiria kurudi nyumbani.... HONGERA sana TIDO endelea kuwa wazi na kufichua maovu ya viongozi wetu hata hapo utakapoingia ili dunia ijue.

Sina cha kuongeza hapo mkuu Nchi hii na tu visa twake vinatubooooa@@@@
 
Kila siku tunajisifia eti tumeweza kuwaita wawekezaji,kumbe wengi ni wasanii wawekezaji wa kweli wanaelekea NRB,kuna kitu cha kujifunza hapa..

Wawekezaji hawawezi kuja kwenye giza na makelele bila mipango ya kuonyesha ukomo/muelekeo wa kumaliza matatizo. Tutaendelea kupata wanyang'anyi tu wawekezaji ng'ooo
 
Tunamuombea kila laheri ndugu yetu Tido Muhando na nadhani mwaka 2015 mambo yatakuwa hot Chama Cha Magamba watatamani kusaga chupa wanywe maana hawana ujanja na hawna la kumfanya kwishey magamba yenu nyie.

New Al Jazeera Swahili Studios….

Hii ndio studio mpya amabyo inajengwa hivi sasa Jijini Nairobi tayari kwa kurusha matangazo yake kwa lugha ya kiswahili ambapo Tido Mhando ndiye atakayekuwa msimamizi mkuu! .....Magamba na TBC yao.... kwishney....! habari ndo hiyooooo wana JF! cheki mjengo hapo down!!


Under Construction: An Al Jazeera News Studio

Already a number of Swahili News Presenters and Reporters are readying themselves for the interviews and set tentatively for August/September 2011.
 
Binafsi namtakia kila la heri,ila kuna wakati aliniboa sana kwa ku-side wazi wazi kabisa na serikali katika mambo ambayo alipashwa kuwatetea wananchi.
New Al Jazeera Swahili Studios….

Hii ndio studio mpya amabyo inajengwa hivi sasa Jijini Nairobi tayari kwa kurusha matangazo yake kwa lugha ya kiswahili ambapo Tido Mhando ndiye atakayekuwa msimamizi mkuu! .....Magamba na TBC yao.... kwishney....! habari ndo hiyooooo wana JF! cheki mjengo hapo down!!


Under Construction: An Al Jazeera News Studio

Already a number of Swahili News Presenters and Reporters are readying themselves for the interviews and set tentatively for August/September 2011.
 
Hivi kwanini idhaa za kiswahili nyingi zpo Nairobi? Kasoro ile ya wafaransa
 
mkataba kati ya TBC na tido ulifia kikomo na wala hajafukuzwa kazi bali mkataba uliisha na swala la kuongeza mkataba ni kazi ya muajiri hebu tujadili mambo kisayansi na siyo kama tupo kwenye mabaraza ya kahawa na club za pombe.....happy weekend wadau
Daah! sayansi kama ni hiyo eeh! wanao jadili wanaona mbali zaidi yako! kwani kulia na kucheka zote ni kelele tu. wewe hujui dua ya kuku(magamba) haimpati mwewe(Tido) I wish you bro, Tido nice job may God bless You.
 
mkataba kati ya TBC na tido ulifia kikomo na wala hajafukuzwa kazi bali mkataba uliisha na swala la kuongeza mkataba ni kazi ya muajiri hebu tujadili mambo kisayansi na siyo kama tupo kwenye mabaraza ya kahawa na club za pombe.....happy weekend wadau
kwa maoni yako performance ya tido haikustahili kuongezewa mkataba mwingine?acha kuleta porojo za kijiweni wewe!
 
Huyo Tido si ndio alikuwa mkuu pale? ilikuwaje akaacha studio namna hiyo?au ndicho kilicho mng'oa pale? Kwa waarabu atanyooka.
<o:p></o:p>

<o:p> </o:p>
Aisee! KUMBEEE! Waarabu wananyoosha eeeh.<o:p></o:p>
<o:p> </o:p>
<o:p> </o:p>
<o:p> </o:p>
mkataba kati ya TBC na tido ulifia kikomo na wala hajafukuzwa kazi bali mkataba uliisha na swala la kuongeza mkataba ni kazi ya muajiri hebu tujadili mambo kisayansi na siyo kama tupo kwenye mabaraza ya kahawa na club za pombe.....happy weekend wadau
<o:p></o:p>

<o:p> </o:p>
Mkuu kwa hiyo unasemaje? Kwamba Tido hakupaswa kuongezwa mkataba? <o:p></o:p>
<o:p> </o:p>
BIG UP TIDO, MAY THE LORD BE With You.
 
<o:p></o:p>
<o:p> </o:p>
Aisee! KUMBEEE! Waarabu wananyoosha eeeh.<o:p></o:p>
<o:p> </o:p>
<o:p> </o:p>
<o:p> </o:p>
<o:p></o:p>
<o:p> </o:p>
Mkuu kwa hiyo unasemaje? Kwamba Tido hakupaswa kuongezwa mkataba? <o:p></o:p>
<o:p> </o:p>
BIG UP TIDO, MAY THE LORD BE With You.

Of course, unafikiri waarabu wanataka mchezo.

Angefanya vema si angeongezewa mkataba, hau huoni juu huko? studio nyang'anyang'a wakati wake. Mpaka leo TBC 40% matangazo ya nje si yetu wenyewe, alikuwa anafanya nini wakati wote?
 
Of course, unafikiri waarabu wanataka mchezo.

Angefanya vema si angeongezewa mkataba, hau huoni juu huko? studio nyang'anyang'a wakati wake. Mpaka leo TBC 40% matangazo ya nje si yetu wenyewe, alikuwa anafanya nini wakati wote?

Wakati mwengine si kosa la mpishi, ukilishwa maharage ya kuchemsha; kama ulitaka ya kuungwa na nazi basi ....ulipaswa kuinunua. Kama serikali haikutenga fungu la fedha yeye angezitoa wapi? Simtetei, binafsi sikuridhishwa na utendaji wake alipokua BBC; alikua kada mkubwa CCM na ndio maana wakamtunukia huo ukurugenzi TBC.
 
Y
Huyo Tido si ndio alikuwa mkuu pale? ilikuwaje akaacha studio namna hiyo?au ndicho kilicho mng'oa pale? Kwa waarabu atanyooka.
You seem not to be very serious with what you are saying madam, Ni Tido Mhando ndiye aliyeleta mabadiliko makubwa tunayoyaona sasa TBC na ambayo bila shaka yatayeyuka polepole mpaka ipoteze kabisa ladha kama zamani. Kuna wakati fulani kabla ya kuja huyu Tido makada wa CCM tu ndiyo waliokuwa wakihangaika na kuitazama ile iliyokuwa ikiitwa TVT.
Pamoja na kumwondoa, JK kama mstaarabu anapaswa kumshukuru jamaa huyu aliyeibadili tashwira ya TVT.
Kuhusu kunyooshwa na waarabu mi naamini hilo halitatokea kwani kwa kadiri ninavyoelewa wanachojali pale ni profession na si vinginevyo. Ndiyo maana katika watangazaji msishangae kuwaona wazungu, wachina, wajapani na hata wahindi wakitangaza katika idhaa hii.
Ama kweli imeandikwa Nabii hapati heshima nyumbani kwake. Hili ni la kweli kwa Tido na lugha ya Kiswahili ambayo hakuna hata serikali mojawapo zinazojinadi eti lugha ya Kiswahili ni lugha yao imefikiria kuanzisha idhaaa ya namna hii kimataifa!
Nawashuku Aljazeera na natoa wito tuwaunge mkono kikamilifu. Shame to our East African leaders!
 
muongo ilo wajua peke yako wenzzako twajua alifukuzwa kwa fitna fitnata
 
Hongera TIDO, niko upande wako, TBC hakuna kitu hata vipindi sasa vinaanza kuchuja hata rangi inapotea.
 
Hivi kwanini idhaa za kiswahili nyingi zpo Nairobi? Kasoro ile ya wafaransa

Swali ulilouliza hapo juu ni la msingi sana, inaelezea jinsi ambavyo bado we are behind compared to Nairobi, kwanza hatuna media policy/sheria ya vyombo vya habari/uhuru wa kweli wa vyombo/proffesionalism bado iko chini na hata media exposure yetu bado iko chini nadhani baada ya wao kufanya utafiti wa wapi pa kuweka investment wakachagua Nairobi.

Ni changamoto kwetu, huenda na Tido mwenyewe alirecommend Nairobi...just a joke!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom