KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
Mbunge msigwa baada ya habari ya ukweli kuhusu ahadi ya slaa amefuatwa na kulambishwa sukari halafu palepale anatakiwa azikanushe hizo habari kwani walijua zinamchafua kwa kiasi kikubwa dk slaa sasa jiulize kama kweli amekanusha bila shinikizo lolote toka chadema ni kwa nini azikanushe akiwa na mbunge wa chadema mh.msigwa?ama kweli mama mwangosi umekuwa kama mpira wa kona kila mwanasiasa anayetafuta umaarufu anakuja kwako kupata ujiko wa kisiasa.