Sasa we nguchiro kwani hujui ni dini gani inajulikana kwa kukata watu mikono, kupiga watu mawe hadi kufa na kujilipua kwa mabomu?We pimbi nani aliyekwambia huo ni uislamu?
Sasa we nguchiro kwani hujui ni dini gani inajulikana kwa kukata watu mikono, kupiga watu mawe hadi kufa na kujilipua kwa mabomu?We pimbi nani aliyekwambia huo ni uislamu?
Aisee.......Sasa we nguchiro kwani hujui ni dini gani inajulikana kwa kukata watu mikono, kupiga watu mawe hadi kufa na kujilipua kwa mabomu?
Mambo ya dini hayo!! Kwamba wewe mama mzazi ukimpenda mtu wa dini/imani nyingine basi una hatia!! Na huu upuuzi wa kuwekeana kauzibe kwa mtu uliempenda kisa imani,akina mama ndio wahanga wakubwa!! Rejea yangu ni hapa Tanzania.Ni ujinga wa hali ya juu.
Na yule mwanamke aliyehukumiwa kunyongwa juzi huko Sudan ulikuwa ni utamaduni wa wafursi, wapashtuni, na wahindi?Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja. The so called "honor killings" in utamaduni wa wafursi, wapashtuni, na wahindi. Na hiki kitu kipo sana kwenye indopak culture. Uislamu umeingia kwenye hayo maeneo na kuukuta huo utamaduni ukiwepo tayari, na umeendelea kuwepo hadi leo. Ndio maana suala la kuua kwa sababu ya ndoa hata wahindu na wabudha kule India wanafanya sana tu. Sema kwa kuwa shida yenu ni kuusema uislamu, mambo kama haya yakitokea Pakistani ambako kuna waislamu zaidi basi ndio inakuwa habari kuu.
Leo hii wazaramo ambao wengi wao ni waislamu hucheza ngoma uchi. Ni haramu kwenye uislamu kucheza ngoma tena uchi. Sasa leo kwa kuwa wazaramo wanafanya hivyo ndio utasema ni uislamu wao ndio unawafanya wafanye hivyo?
Hukumu za kunyongwa zipo sehemu nyingi. Hapa tunaongelea swala la kumpiga mawe mtu hadi kumuua kwa ajili ya kulinda heshima ya familia. Kama unataka kujadili hukumu ya kifo anzisha uzi.Na yule mwanamke aliyehukumiwa kunyongwa juzi huko Sudan ulikuwa ni utamaduni wa wafursi, wapashtuni, na wahindi?
Aliyempenda ni kafiri, yaani mkiristu. apigwe tu!
Dini zingine bana ni shida hata Mungu hahukumu hivyo,na kuna mwingine anasubiriwa huko Sudani ,mtoto wake aliyejifungua leo akifikisha miaka miwili atakuwa yatima,mimi naamini hakuna aliyezaliwa na dini kwa hiyo tubadilike mtu akiwa na akili timamu na kawa mtu mzima mwache dini atakayoitaka na si kulazimishana dini,wengine wanadai watawauza watoto wa shule utumwani na kuwaoza.Mungu peke yake ndio ana uwezo wa kuhukumu na sio sisi wanadamu ,sisi ni waja wake tu.
Ni ujinga wa hali ya juu.
Mkuu kuwaita wehu umewapamba hawa ni wendawazimu
Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
Aliyempenda ni kafiri, yaani mkiristu. apigwe tu!
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja. The so called "honor killings" in utamaduni wa wafursi, wapashtuni, na wahindi. Na hiki kitu kipo sana kwenye indopak culture. Uislamu umeingia kwenye hayo maeneo na kuukuta huo utamaduni ukiwepo tayari, na umeendelea kuwepo hadi leo. Ndio maana suala la kuua kwa sababu ya ndoa hata wahindu na wabudha kule India wanafanya sana tu. Sema kwa kuwa shida yenu ni kuusema uislamu, mambo kama haya yakitokea Pakistani ambako kuna waislamu zaidi basi ndio inakuwa habari kuu.
Leo hii wazaramo ambao wengi wao ni waislamu hucheza ngoma uchi. Ni haramu kwenye uislamu kucheza ngoma tena uchi. Sasa leo kwa kuwa wazaramo wanafanya hivyo ndio utasema ni uislamu wao ndio unawafanya wafanye hivyo?
Faiza foxy unakufuru dini yako? Uislamu ni ujinga? Na wewe unastahili kupigwa mawe kama siyo kuchunwa ngozi!
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja. The so called "honor killings" in utamaduni wa wafursi, wapashtuni, na wahindi. Na hiki kitu kipo sana kwenye indopak culture. Uislamu umeingia kwenye hayo maeneo na kuukuta huo utamaduni ukiwepo tayari, na umeendelea kuwepo hadi leo. Ndio maana suala la kuua kwa sababu ya ndoa hata wahindu na wabudha kule India wanafanya sana tu. Sema kwa kuwa shida yenu ni kuusema uislamu, mambo kama haya yakitokea Pakistani ambako kuna waislamu zaidi basi ndio inakuwa habari kuu.
Leo hii wazaramo ambao wengi wao ni waislamu hucheza ngoma uchi. Ni haramu kwenye uislamu kucheza ngoma tena uchi. Sasa leo kwa kuwa wazaramo wanafanya hivyo ndio utasema ni uislamu wao ndio unawafanya wafanye hivyo?