Mjamzito ana Bima ya Afya lakini ameambiwa alipe cash kufikisha malipo ya huduma ya kujifungua

Mowwo

JF-Expert Member
Aug 15, 2015
327
232
Wakuu habari
Nina Rafiki yangu ambae mkewe alikua mjamzito, lakini sasa ameshajifungua. Sasa wakuu changamoto baada ya kujifungua ameambiwa bima yake inacover 1.5M tu ya gharama za kujifungua. Gharama iliobaki ya 280,000 anatakiwa alipie cash ili akamilishe gharama zote za kujifungua. Nina ma'swali.

1. MJamzito mwenye bima anatakiwa kuongezea cash kwenye gharama zote?

2. Ilitakiwa rafiki yangu ajulishwe kua bima ya mkewe haitoshelezi kujifungua ili aandae cash?

3. Kama hakujulishwa mapema hizi gharama na hana hela asipolipa kuna tatizo? Au hospitali wanamzunguka tu atoe hela zaidi?

Kwa mwenye uelewa natanguliza shukrani

NB: Bima anayotumia ni Jubilee
 
Wapigie simu.

Kila bima ina ukomo wa kiwango fulani

Na wanakwambia kabisa kuwa, hii mwisho wetu ni hapa, ukitaka zaidi jazia
Asante
Kama wakisema hela ni ya kujazia na hospital wamempa taarifa wakati ameshajifungua ni sahih?
 
Kila Bima ina ukomo wa matibabu, aulizie Bima yake uwezo wake unaishia wapi. Kuanzia hapo atajua hospital ilikua sahihi au Kuna shida.
Sawa mkuu. Ngoja ntamwambia apige sim kesho. Changamoto ni hana hela ndo maana na hakujua kuna kujazia hela
 
Wakuu habari
Nina Rafiki yangu ambae mkewe alikua mjamzito, lakini sasa ameshajifungua. Sasa wakuu changamoto baada ya kujifungua ameambiwa bima yake inacover 1.5M tu ya gharama za kujifungua. Gharama iliobaki ya 280,000 anatakiwa alipie cash ili akamilishe gharama zote za kujifungua. Nina ma'swali.

1. MJamzito mwenye bima anatakiwa kuongezea cash kwenye gharama zote?

2. Ilitakiwa rafiki yangu ajulishwe kua bima ya mkewe haitoshelezi kujifungua ili aandae cash?

3. Kama hakujulishwa mapema hizi gharama na hana hela asipolipa kuna tatizo? Au hospitali wanamzunguka tu atoe hela zaidi?

Kwa mwenye uelewa natanguliza shukrani

NB: Bima anayotumia ni Jubilee
Alipe fedha za watu haraka iwezekanavyo, hilo ni deni kama madeni mengine.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari
Nina Rafiki yangu ambae mkewe alikua mjamzito, lakini sasa ameshajifungua. Sasa wakuu changamoto baada ya kujifungua ameambiwa bima yake inacover 1.5M tu ya gharama za kujifungua. Gharama iliobaki ya 280,000 anatakiwa alipie cash ili akamilishe gharama zote za kujifungua. Nina ma'swali.

1. MJamzito mwenye bima anatakiwa kuongezea cash kwenye gharama zote?

2. Ilitakiwa rafiki yangu ajulishwe kua bima ya mkewe haitoshelezi kujifungua ili aandae cash?

3. Kama hakujulishwa mapema hizi gharama na hana hela asipolipa kuna tatizo? Au hospitali wanamzunguka tu atoe hela zaidi?

Kwa mwenye uelewa natanguliza shukrani

NB: Bima anayotumia ni Jubilee

Mwambie aachane na hizo bima za afya za makampuni ya watu binafsi.

Bima za Afya za makampuni ya bima ya watu binafsi zilikuwa na mashiko kabla ya serikali kuanzisha NHIF. Hayo makampuni yalikuja kutajirika kutokana na pengo lililokuwepo katika soko.

Ila kwa sasa hakuna bima bora zaidi ya NHIF kwa mtu anayetaka huduma kwenye hospitali za hapa nchini. Hayo makampuni binafsi yatafute kama unahitaji bima za kusafiria nje ya nchi.

NHIF huduma za kujifungua zinapatikana bila gharama za ziada kwa wanachama ambao wameshachangia miaka miwili mfululizo. Miaka miwili mfululizo ni muhimu ili kuzuia mtu kwenda kukata bima baada ya kuwa ameshika mimba.

Pitia vipeperushi vyao vifuatavyo kujionea mambo motomoto ya NHIF, halafu ulinganishe na hela unayolipa huko Jubilee:

(1) https://www.nhif.or.tz/uploads/publications/sw1626422858-VIFURUSHI BROCHURE • IDADI 117000.pdf

(2) https://www.nhif.or.tz/uploads/publications/sw1627631043-NHIF - VIFURUSHI FINAL.pdf
 
Back
Top Bottom