Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,754
Afrika tuliamua iwe hivyo hatuna haja ya kukubali iwe hivyo
Kiaje Mkuu?Afrika tuliamua iwe hivyo hatuna haja ya kukubali iwe hivyo
Kweli miungu ipo AfrikaMi naona waanze na waliompigia kura
Tumewapa mpini viongozi hatuna haja ya kukubali kushika makaliKiaje Mkuu?
Maana naona wengi wanajaribu hata Kuingilia mambo ya Mungu.Tumewapa mpini viongozi hatuna haja ya kukubali kushika makali