GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,299
Hahaaaa hapana mkuu na hitaji tu kumbua huyu wa huku kwetuHuo uchochezi sasa
Hahaaaa hapana mkuu na hitaji tu kumbua huyu wa huku kwetuHuo uchochezi sasa
Fanya mpango wa jina la hugo trafiki au namba yake tumjue zaidi yeye ni naniHahaaaa hapana mkuu na hitaji tu kumbua huyu wa huku kwetu
Milioni saba unazo?Hizo ahutuma nimezisikia hapa hapa kwetu Tanzania, kwamba alishwahi kuugua kichaa zamani, kwamba na yeye hazimtoshi
Naona anahamishia makazi kule idodomya karibu na Milembe itakuwa kashalijua tatizo lake mkuu!kuna mwngne huku
Ahaa! Ulimwona alivyokanushwa kiwaziwazi akajikanyaga kwenye conference ile? Kama hutaki kusoma sawa. You are completely brainwashed kiasi kwamba huwezi kuona hata uwongo ulio dhahiri unaotoka mdomoni mwake. Unapaswa kuwa critical thinker and not just take anything you hear from Trump.Hizo fake news channels na magazine huwa sifungui kusoma wala kuangalia! Mi kila siku ya napata info from trump himself anachofanya and everything he talking so hayo ya kusoma kasome wewe uendelee kuwa brainwashed
Wale waleeeee miaka minne msubirie iishe, mlitusumbua na vipolls vyenu tukawapiga kipigo cha mbwa mwizi na media zenu sasa mnajitahidi kuokota okota hoja kila siku ili mradi muoneka e mpo. Mwenzenu clinton kwa mziki wa Donald katulia maana anajua the new sherrif is back in the house!Ahaa! Ulimwona alivyokanushwa kiwaziwazi akajikanyaga kwenye conference ile? Kama hutaki kusoma sawa. You are completely brainwashed kiasi kwamba huwezi kuona hata uwongo ulio dhahiri unaotoka mdomoni mwake. Unapaswa kuwa critical thinker and not just take anything you hear from Trump.
Kama kujadili tujadili, huu si ushabiki wa mpira. Eti "mlitusumbua sana na vipolls vyenu." Nina mashaka kama hata unaelewa nini kinaendelea. Maana ulisema pale mwanzo wewe husomi unasikia tu maneno ya Trump basi tayari kakukonga moyo. Hivi unajua ilikuwaje Trump kapata kura nyingi zaidi sehemu ambazo Hillary hakupata. Unafahamu ni watu wa namna gani waliompigia kura. Ni watu kama wewe.Wale waleeeee miaka minne msubirie iishe, mlitusumbua na vipolls vyenu tukawapiga kipigo cha mbwa mwizi na media zenu sasa mnajitahidi kuokota okota hoja kila siku ili mradi muoneka e mpo. Mwenzenu clinton kwa mziki wa Donald katulia maana anajua the new sherrif is back in the house!
Ni watu kama mm ambao wanayo haki ya kuchagua kiongozi wao so whats wrong with that? Ww huwezi nipangia niwe fan wa nani it's my choice and not yoursKama kujadili tujadili, huu si ushabiki wa mpira. Eti "mlitusumbua sana na vipolls vyenu." Nina mashaka kama hata unaelewa nini kinaendelea. Maana ulisema pale mwanzo wewe husomi unasikia tu maneno ya Trump basi tayari kakukonga moyo. Hivi unajua ilikuwaje Trump kapata kura nyingi zaidi sehemu ambazo Hillary hakupata. Unafahamu ni watu wa namna gani waliompigia kura. Ni watu kama wewe.
We umechoka vipi wakati habari hii inahusu Rais wa MarekaniMungu pokea dua zetu..Tumechoka
Sidhani kama Trump ni mgonjwa wa akili. Unajua aina ya maisha ya Trump aliyokuwa anaongoza kabla hajawa president ndiyo hayo hayo ameyahamishia ikulu. Muda na changamoto za uraisi zitamfundisha mambo mengi. Kumbuka Trump alikuwa anaishi lavish lifestyle.....kila siku kukutana na warembo na celebrities, kunywa mvinyo (labda na cocaine pia) sasa haya yote yamechangia sana yeye asiwe mtu wakutuliza kichwa na kupata muda kujiridhisha kwenye kile anachotaka kusema. Pale Trump Tower ni anasa tu. Ukiwa na utajiri over 4 billion Dollar huwezi hofia lolote. Na aina ya maisha ya Trump lazima akili iwe tenge kidogo. Wamarekani wasijali wasaidizi wake watamsaidia kuongoza nchi.
Kama marekani wameingia cha kike....jamhuri ya muungano wa visiwa imeingia cha shogaMtasema sana lakini ukweli ni kwamba Marekani wameingia cha kike kumchagua kichaa kuwa rais
MmhKama marekani wameingia cha kike....jamhuri ya muungano wa visiwa imeingia cha shoga
Kama marekani wameingia cha kike....jamhuri ya muungano wa visiwa imeingia cha shoga
Mkuu kwa AfrikaHata Mungu wa Dar huwezi kumpima wala kuzungumzia kumpima sembuse Mungu wa nchi