Mjadala wa Pili wa Wizara ya Nishati na Madini: Ngeleja kujiokoa?

kwaukweli, huu mpango wa dharura ulioletwa na kilaza Ngeleja, mwenye sura ya m2 wa fikra fupi! Ni sawa na kuziba shimo la panya kwa mkate,au kusuluhsha ugomvi kwa kunywa sumu. Yani tunazidi kuona jinsi serikali isivyo mhurumia mwananchi.
 
Anna Kilango Watanzania wote wanatuangalia kwenye TV zao....!!!!,
Hivi hajui kwamba watanzania wengi hawana TV let alone umeme...????

Alafu kama kawaida anaisifu serikali na Ngeleja kwa kuwa wasikivu...

This Country..!!!! Amazing!!!!
semina zinafanya kazi
 
Safi sana Cheyo: Anauliza hii miradi yote inategemea mafuta ambayo serikali itatoa ..., Hivi haya mafuta yatatoka wapi na pesa za mafuta zitatoka wapi?

Pia Ngeleja katumia dakika tano kuongelea Madini na dakika zote kuongelea Nishati..., hivi kwanini hii wizara isitenganishwe..?

Naona jamaa leo angalau anatumia busara
 
Anna Kilango Watanzania wote wanatuangalia kwenye TV zao....!!!!,
Hivi hajui kwamba watanzania wengi hawana TV let alone umeme...????

Alafu kama kawaida anaisifu serikali na Ngeleja kwa kuwa wasikivu...

This Country..!!!! Amazing!!!!

Hizo TV zinatumia mboji? Maana umeme wenyewe shida!
 
Safi sana Cheyo: Anauliza hii miradi yote inategemea mafuta ambayo serikali itatoa ..., Hivi haya mafuta yatatoka wapi na pesa za mafuta zitatoka wapi?

Pia Ngeleja katumia dakika tano kuongelea Madini na dakika zote kuongelea Nishati..., hivi kwanini hii wizara isitenganishwe..?

Naona jamaa leo angalau anatumia busara

Akiacha njaa, mbona jamaa mchapakazi mzuri!
 
ngeleja anaonekana ku constrate na kinachoendelea lakini naibu wake malima anafanya mambo ya ovyo kunyooshanyoosha midole yenye pete
<br />
<br />
Hizi pete hazitoi umeme, tuzifanye mojawapo ya chanzo?
.
 
Hivi ni mimi au Ngeleja hakuna anachojibu bali ni kutoa story ndefu ambazo haziendani na maswali?
 
Mh,seems like am out of the world,...kwani leo sio weekend hadi kuwe na bunge?
ops,ngoja ninawe uso kwanza
 
hivi ngeleja aliposema gharama zingine za tanesco zitalipwa na serikali,who z mr government? Kodi zetu wanatumia aafu wanatuambia serikali itasaidia! Hawa watu mbona wanatenganisha kati ya serikali na watu wake?
 
Nilishasema once na ninasema tena..., kama Mzalendo hii nchi haitakwenda bila CCM kufa.....!!! hapo ndio kutakuwa na upinzani wa kweli na watu watatumia busara kuongelea mambo na sio maslahi yao....,The death of CCM for the betterment of Tanzania
 
Pongezi zinaongezeka kwa Ngeleja wale wote waliojifanya kukasirika leo wanatoa pongezi....

Hivi watu wanasimama kupongezana au...??? :( Hii ni kupotezeana muda tu...., Mi naona dawa ni uchaguzi unaofuata ni kupiga hawa wote chini useless kabisa :(
 
nadhani kulikuwa na semina elekezi kwa wabunge wa ccm.. lkn mimi kwa suala la umeme waachane na masuala ya ushabiki ila waangalie utaifa zaidi
 
Nilishasema once na ninasema tena..., kama Mzalendo hii nchi haitakwenda bila CCM kufa.....!!! hapo ndio kutakuwa na upinzani wa kweli na watu watatumia busara kuongelea mambo na sio maslahi yao....,The death of CCM for the betterment of Tanzania

...Malizia hapo kwenye nyekundu, kuwa na wewe...
 
...Malizia hapo kwenye nyekundu, kuwa na wewe...
Mimi ni nani na ninahusika vipi..???

Upinzani ni jambo zuri kwa maendeleo ya nchi..., na upinzani hauna meno bungeni kitu ambacho kinafanya Bunge kuwa rubber stamp...

Kutokana na CCM kuwa ni Chama Cha muda mrefu sana kimejijenga na kuwa na rasilimali kubwa (nyingi ambazo ni za wananchi n.k.) hivyo basi kutumia mtaji huu kuhakikisha inanunua watu na kubaki madarakani..., Kwahiyo kifo cha CCM na kutaifisha mali zake itakuwa bora kwa Tanzania.., hata CCM ivunjike tupate kama vyama vitano from CCM

Mkuu mimi ni mzalendo na Chama Cha Siasa kwangu sio kama timu ya mpira ambayo unachukulia mambo kishabiki, its well known kwamba bila upinzani wa nguvu chama in power inafanya inachotaka kitu ambacho kinaonekana sasa
 
Uyu Malima yaani huwa simwamini sana!
Anyway tungoje utekelezaji tuu!
 
Tunaomba mchakato wa bajeti maana ngeleja ashachukua umeme wake. Wasichokielewa wadanganyika ni kuwa umeme wa mafuta ni kuwa pesa za mafuta tunalipia sisi kwa kodi zetu na wajanja wanaweka chao cha juu katika ununuzi wa mafuta. Isitoshe umeme tunaolipia unaenda kuwatajirisha mafisadi katika kampuni zao. Tunaoumia sisi wadanganyika kwa kodi yetu na pia kuwatajirisha mafisadi. Tunaomba mchakato kwani nataka kuona mipango ya muda mrefu ipi waliyonayo bila ya Stiegler gorge tunawaomba wabunge wasipitishe hiyo bajeti. Mkikataa tunawafukuza kazi 2015!!!!
 
Back
Top Bottom