Mjadala wa kitaifa kuhusu elimu sasa haukwepeki

StingRay

JF-Expert Member
Jun 28, 2014
503
628
Sheria inamtaka mzazi kumhudumia mtoto mpaka atakapofikia utu uzima yaani kikawaida kabisa ni miaka18 na baada ya hapo ajitegemee lakini hii ya kulazimishwa kumsomesha mtu mzima hadi chuo kikuu ni sawa au uonevu na uvunjaji wa katiba.

Kwakweli wahusika wameshindwa kujibu hoja za msingi wamebaki vitisho tu mara waliosoma private, mara leseni za biashara....hamna msimamo wala uhalisia katika majibu.

Hivi hizi bad politics mpaka lini??? Wenzetu majirani wanakimbia kimaendeleo sisi kila kukicha tuanatafuta kumtesa nani na kumkomesha.

Hivi ninyi wazee mkopo wa elimu mnapatia mzazi/wazazi au huyu mtu nzima atakayelipa yeye mwenyewe???? Hizi ni mwendelezo wa dalili za srrikali kukwepa majumu yake ya kutoa huduma kwa wananchi wake bila ubaguzi....

Mjadala wa elimu sasa ni lazima haukwepeki.........
 
Sheria inamtaka mzazi kumhudumia mtoto mpaka atakapofikia utu uzima yaani kikawaida kabisa ni miaka18 na baada ya hapo ajitegemee lakini hii ya kulazimishwa kumsomesha mtu mzima hadi chuo kikuu ni sawa au uonevu na uvunjaji wa katiba.

Kwakweli wahusika wameshindwa kujibu hoja za msingi wamebaki vitisho tu mara waliosoma private, mara leseni za biashara....hamna msimamo wala uhalisia katika majibu.

Hivi hizi bad politics mpaka lini??? Wenzetu majirani wanakimbia kimaendeleo sisi kila kukicha tuanatafuta kumtesa nani na kumkomesha.

Hivi ninyi wazee mkopo wa elimu mnapatia mzazi/wazazi au huyu mtu nzima atakayelipa yeye mwenyewe???? Hizi ni mwendelezo wa dalili za srrikali kukwepa majumu yake ya kutoa huduma kwa wananchi wake bila ubaguzi....

Mjadala wa elimu sasa ni lazima haukwepeki.........
Mimi Nasema mjadala wa elimu sitaki, mimi JIWE, sitaki
 
Maraisi wastaafu mkapa na kikwete wote wamemsihi maguful afanye mjadala juu mwenendo wa elimu lakini mheshimiwa amekuwa mbogo.
Kwa vile athari za elimu zitatupata wote bila kujali ccm au wapinzani acha tu magufuli azidishe unyama pengine kuna watu wataamka
 
Back
Top Bottom