Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
UTANGULIZI UBAKAJI WA TELEZA: https://www.jamiiforums.com/threads...-unyama-wa-teleza-dhidi-ya-dada-zake.1586785/
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Leo swali langu ni hili;
Je, kuhalalishwa kwa biashara ya ukahaba kunaweza kupunguza matukio ya ubakaji Tanzania??????
Nimeuliza hivi kwa maana kwamba, kuna baadhi ya nchi za ulaya na Marekani zimefanya utafiti na kugundua ya kwamba kuhalalisha ukahaba umepelekea kupunguza vitendo ya ubakaji mpaka kwa 35% soma hapo chini;
OUR MOTTO
=========
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. JIULIZE MPAKA SASA UMEIFANYIA NINI NCHI YAKO??
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Leo swali langu ni hili;
Je, kuhalalishwa kwa biashara ya ukahaba kunaweza kupunguza matukio ya ubakaji Tanzania??????
Nimeuliza hivi kwa maana kwamba, kuna baadhi ya nchi za ulaya na Marekani zimefanya utafiti na kugundua ya kwamba kuhalalisha ukahaba umepelekea kupunguza vitendo ya ubakaji mpaka kwa 35% soma hapo chini;
Prostitution and Sex Crimes | Kirby R. Cundiff
It is estimated that if prostitution were legalized in the United States, the rape rate would decrease by roughly 25% for a decrease of approximately 25,000 rapes per year.
www.independent.org
OUR MOTTO
=========
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. JIULIZE MPAKA SASA UMEIFANYIA NINI NCHI YAKO??