Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Ni kweli Mbowe Yupo korokoroni, lakini corona iliyo wafanye muwe yatima na wajane, ipo mtaani, Angalia sana, hasa wakati ukibugia minyama na kushushia na hiyo bia baridi!Gaidi Mbowe limetulizwa Segerea, nchi nzima ipo shwari na utulivu wa haja, jioni tunashushia nyama choma saaafi na beer baridiii.