Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 523
Biden anakenua meno tu kwenye foreign policy biden yuko safi but domestic issues Ryan yuko smart
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usa hakuna siasa ni ujinga ujinga tu. huwezi amini hao waongo waongo republican wakapita kwa sababu raia wengi wa usa ni ndondocha, eti mtu andanganya bado yanampigia kura. na safari hii watakoma wakiwapa republican lazima wanunuliwe na china.
Angelikuwa ni JK ndio Ryan ungekuta keshaanguka zamani Huku idara ya usalama ikisingizia ni swaumu
Obama will win with a very narrow margin!!