maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,067
Huyu jamaa yuko makini kwani anasubiria kikosi kazi kimalize kazi na hayo maridhiano wasipopata mwafaka watalianzisha ndani na yule Lisu atalianzishia Airport kwani uwanja utakuwa wao.Nashauri Mr Mbowe aongeze umakini Kwa suala la maridhiano.
Timeframe ni muhimu, ninanusa harufu ya HADAA mahali!!!!
Ndo maana watu wanalazimisha arudi sasa ili joto lisiwe Kali wakati Mwamba anajua anachokifanya ili mwisho uwe mzuri kwao ila sisi tutabaki tunasema tungejua na hiyo tungejua mandamano yatakuwa yameshaenea nchi nzima.
Mwanaccm mm nakuwaga muwazi kuendana na mazingira yalivyo