johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,835
Katika Wabunge zaidi ya 200 waliojadili hotuba ya Waziri Mwigullu Nchemba had sasa ni Watatu tu ndio sijawasikia wakizungumzia Ngorongoro ambao ni Dr Kimei, Tarimba Abbas na mh Mpina
Ndio nauliza huu ni mjadala wa Wizara ya Maliasili na Utalii au ni mjadala wa Bajeti kuu ya Serikali?
Mungu ni mwema wakati wote
Ndio nauliza huu ni mjadala wa Wizara ya Maliasili na Utalii au ni mjadala wa Bajeti kuu ya Serikali?
Mungu ni mwema wakati wote