Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,794
- Thread starter
- #21
1. Rais alidanganya umma kwa kusema waliingia mkataba wakati ulikuwa ni mchakato wa kuelekea kwenye Mkataba.
2. Waziri naye anatuchanganya anadai haukuwa mkataba bali mchakato wa kuelekea kwenye mkataba, lakini zaidi ya 99.9% ya maelezo yake yaongelea na kuonyesha kuwa huu ni mkataba badala ya mchakato kuelekea kwenye mkataba.
Hili linalazwa hivi sasa, lakini Time will come, litaamka usingizini na kuanza kutusumbua huko baadaye.
Tulielezwa ni MoU
Jr