Mjadala uliotupita: Je, kuvunja mkataba wa vifaa vya zimamoto hakutatuletea hasara ya fidia?

1. Rais alidanganya umma kwa kusema waliingia mkataba wakati ulikuwa ni mchakato wa kuelekea kwenye Mkataba.
2. Waziri naye anatuchanganya anadai haukuwa mkataba bali mchakato wa kuelekea kwenye mkataba, lakini zaidi ya 99.9% ya maelezo yake yaongelea na kuonyesha kuwa huu ni mkataba badala ya mchakato kuelekea kwenye mkataba.

Hili linalazwa hivi sasa, lakini Time will come, litaamka usingizini na kuanza kutusumbua huko baadaye.
Tulielezwa ni MoU

Jr
 
Mh lakini nasikia ule mkataba ilikuwa tu ni Memorandam of understang(Mou) kwaiyo ilikuwa ni hatua za mwanzo .. Bado ata hujajadiliwa bungeni
1. Rais alidanganya umma kwa kusema waliingia mkataba wakati ulikuwa ni mchakato wa kuelekea kwenye Mkataba.
2. Waziri naye anatuchanganya anadai haukuwa mkataba bali mchakato wa kuelekea kwenye mkataba, lakini zaidi ya 99.9% ya maelezo yake yaongelea na kuonyesha kuwa huu ni mkataba badala ya mchakato kuelekea kwenye mkataba.

Hili linalazwa hivi sasa, lakini Time will come, litaamka usingizini na kuanza kutusumbua huko baadaye.

Jr
 
Hivyo; hasara ambaye nchi imeingia kwa boko la Kangi Lugola ipo tena kubwa sana sema Transparency imekuwa ni changamoto kwa awamu ya 5. Kuanzia kwenye tendering process, vikao vya tender board, Evaluation Committee, Preparing solicitation documents it takes a lot of money plus the loss for discharge of contract ! critical thinking....!!!!
Pamoja kwamba ninasaupport harakati za Ngosha kuleta mabadiliko; lakini hili liwekwe wazi.

Mkataba ni legal binding agreement between parties na ni lazima uwe na Article of Agreement ambayo ita set forth the main purpose of the contract and powers of the entity.

The second part ni Conditions of contract ni sehemu inayo determine obligations za kila mmoja na any kind of breach, substantial performance,frustration ikitokea ni procedures gani za kisheria zitafuatwa.

Sheria za kitaifa na kimataifa zimeweka wazi vigezo vya ku Discharge of Contract ( kuvunja Mkataba ambao ulishasainiwa)

1. Discharge by Agreement
2. Discharge by Performance
3. Discharge by Breach
4. Discharge by Expiration

Kwa maelezo ya Simbachawene, Mkataba umevunjwa by Agreement( kwamba wamekubaliana kuvunja); Na kuvunja mkataba by Agreement ni lazima turudi Kwenye Conditions of Contract.

Mkataba wowote lazima uwe na Clause inayotoa ufafanuzi kama entity( taasisi) itataka kusimamisha Mkataba kabda ya Mkataba kuisha ni lazima kuwe na Remedy au Liquidated Damage kwa manufacturer or Supplier.
( lazima kuwe na malipo ya kusimamisha mkataba na wakati mwingine huwa ni malipo makubwa zaidi ya value of the contract hasa kwa mikataba ya kimataifa).

Hivyo; hasara ambaye nchi imeingia kwa boko la Kangi Lugola ipo tena kubwa sana sema Transparency imekuwa ni changamoto kwa awamu ya 5. Kuanzia kwenye tendering process, vikao vya tender board, Evaluation Committee, Preparing solicitation documents it takes a lot of money plus the loss for discharge of contract !

na shauri wabunge wa TZ walifanyie uchunguzi hili swala kujua hasara nchi iliyoingia kwa kuvunja Mkataba huo. Na uchunguzi huo ni kufuatilia upande wa Supplier, huyu atakuwa na mengi ya kusema. Aidha, Ofisi ya Attorney General ina mengi ya kusema, Paymaster General( Doto) ana mengi ya kusema !

Na je hukumu ya Kangi na timu yake imeishia wapi ? Mbona hatuoneshwi kama tunavyooneshwa ya kina Mbowe na kundi lake ? Au mahakama zipo kwa ajili ya upinzani tu tena kwa vitu visivyokuwa na msingi wowote.

Upinzani fanyieni kazi hili suala mje na majibu kuna ukakasi mkubwa sana katika hii issue. Kutuambia kwamba mkataba umeshavunjwa haitoshi, na ni kutowatendea haki watanzania.

Lazima tujue hasara tunazopata pindi tunapofanya blunders kama hizi kwa maslaha ya watu fulani fulani. Kumtumbua Kangi haitoshi, ni lazima tuone anawajibishwa kisheria na hasara zitambulike.

Upinzani hiii iwe ni ajenda yenu kwenye kampeni za uchaguzi!

Jr
 
Mkuu mimi ni kijana tu mdogo na wala sina ajira yoyote ndio maana nilikuwa naangalia Magufuli akimuapisha waziri mpya wa mambo ya ndani na yeye mwenyewe alisema kuwa Lugola alisaini "Memorandum of understanding".. Magufuli alinena kwa kinywa chake... Ata wewe unaweza kwenda Youtube na kujiridhisha

Tumia akili zako vyema; MoU ni makubaliano ya kupeana huduma na kulikuwa hakuna haja ya wao kwenda huko nje na kupata sitting allowance; perdiems etc etc kulikuwa hakuna haja ya kuwa na Value ya pesa zilizotajwa. MoU hainaga Value.

Pesa hulipwa baada ya kupata huduma kwa namna ambavyo mmekubaliana Kwenye MoU.

MoU haina ulazima wa ku implement; Kama ni MoU ya miaka 2 , basi kipindi chote hicho hamuombi Huduma mnapotezea.

As long as una mention value; my friend that is a Contract.

MoU ni Hati ya Maridhiano Kwenye kupeana Huduma fulani.

Waziri aache uzembe, anaposema tulikuwa Kwenye hatua za kusaini Mkataba, ni fake, kama mlikuwa kwenye hatua za kusaini Mkataba; Halafu unasema tumevunja Mkataba, what the f*******k!!!

Hivi vile vibali vya kangi na jamaa zake kwenda huko nje na kula sitting allowance za USD alisaini nani ?
 
Ilikuwaje wahusika wakafika mpaka hatua waliyokuwa wamefikia bila kushtukiwa? Mchakato wa zabuni ilikuwaje mpaka wakashinda zabuni? Kuna mengi yasiyosemwa hapa.... Ila muda ndio utasema
PCCB walisema hiyo the so called kampuni ya Romania ambayo anuani yake ni msasani, walikubali kuachana na hii kitu kwa ridhaa yao. Ndo maana hawakuwapeleka kwa DPP

Jr
 
Tumia akili zako vyema; MoU ni makubaliano ya kupeana huduma na kulikuwa hakuna haja ya wao kwenda huko nje na kupata sitting allowance; perdiems etc etc kulikuwa hakuna haja ya kuwa na Value ya pesa zilizotajwa. MoU hainaga Value.

Pesa hulipwa baada ya kupata huduma kwa namna ambavyo mmekubaliana Kwenye MoU.

MoU haina ulazima wa ku implement; Kama ni MoU ya miaka 2 , basi kipindi chote hicho hamuombi Huduma mnapotezea.

As long as una mention value; my friend that is a Contract.

MoU ni Hati ya Maridhiano Kwenye kupeana Huduma fulani.

Waziri aache uzembe, anaposema tulikuwa Kwenye hatua za kusaini Mkataba, ni fake, kama mlikuwa kwenye hatua za kusaini Mkataba; Halafu unasema tumevunja Mkataba, what the f*******k!!!

Hivi vile vibali vya kangi na jamaa zake kwenda huko nje na kula sitting allowance za USD alisaini nani ?
Hivi vile vibali vya kangi na jamaa zake kwenda huko nje na kula sitting allowance za USD alisaini nani ? ALISAINI....!!!

Jr
 
Ilikuwaje wahusika wakafika mpaka hatua waliyokuwa wamefikia bila kushtukiwa? Mchakato wa zabuni ilikuwaje mpaka wakashinda zabuni? Kuna mengi yasiyosemwa hapa.... Ila muda ndio utasema

Jr
Upo sahihi maana kama ni zabuni mwisho wake ni contract na wala si MoU. Hivyo user department inatakiwa iwajibike, PMU (ya wizara), Accounting Officer (ambapo kwa kiwango hicho ni Wizara).
 
Kwa nchi hii ilivyo ya kukurupuka hilo la kuvunjwa kwa mkataba ghafla,hapo tunaweza tukawa tumeingizwa chaka kama ilivyo kawaida yetu. Tunaingia mikataba haraka haraka bila hata kuyapitia kwa makini yale makarabrasha yanayoandaliwa kwa ujanja na ujuzi wa upigaji wa hao magobachori. Waliovunja wanasema hakuna fidia serikali yetu itakapofidia. Lakini unaweza ukawa ujanja wa hao ili baadae kujipatia pesa ya ziada kutokana na huo mkataba kupitia mahakama kisheria.
Kuhusu corona,huko tayari tumeingia choo hakieleweki cha kiume au kike,ila wameingia wawili kwa pamoja,ke na me,wote wanaharisha,watajuana huko huko ndani. Maana yake ni vurugu. Hii nchi haijitambui mpaka roho inauma ukisikia yanayoendelea. Nchi zilizoendelea wanapambana na Corona,serikali yetu imekazana kupambana na CHADEMA. Wanagombania nani amemlipia hela Msigwa. Hebu ona hayo mambo ya kuchekesha mtu wanapanga kabisa tuwajibuje CHADEMA. Huku corona ikiwanyemelea. Kibaya zaidi nchi zilizoendelea,zenye uwezo ktk kila sekta mara 100 zaidi yetu,wamezuia njia za kuingia kutoka maeneo yaliyoathika na hii kitu. Wamesitisha mikusanyiko yoyote. USA imezuia njia zote. Lakini sisi eti ni vidume tunaweza kupambana na hiyo kitu,inaumiza sana. Tunasikia kabisa nchi zilizoendelea zilizokumbwa na hili janga zilivyopukutisha watu kwa hili janga. Sisi ni nani mpaka tuendelee kuruhusu wageni? Tena kutoka maeneo korofi?. Sina uhakika sana kama wageni wote tuliowapokea kuanzia hili janga kama wote wako salama,au ndio wanaendelea kusambaza sehemu zingine nchini. Wale tunawategemea watatusaidia hili janga likitufika,wanatuzooom tu,nao wako busy na hilo dude,upo muda tutabaki hewani bila msaada. Hii kitu sio ya mchezo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi maana kama ni zabuni mwisho wake ni contract na wala si MoU. Hivyo user department inatakiwa iwajibike, PMU (ya wizara), Accounting Officer (ambapo kwa kiwango hicho ni Wizara).
Hili ni sleeping volcano kuna siku litaamka.. Halafu likiamka litaamka hasa... Japo tayari tuna mbuzi wa kafara.. Hivyo linaweza kuwa zimwi bila makucha

Jr
 
Pamoja kwamba ninasaupport harakati za Ngosha kuleta mabadiliko; lakini hili liwekwe wazi.

Mkataba ni legal binding agreement between parties na ni lazima uwe na Article of Agreement ambayo ita set forth the main purpose of the contract and powers of the entity.

The second part ni Conditions of contract ni sehemu inayo determine obligations za kila mmoja na any kind of breach, substantial performance,frustration ikitokea ni procedures gani za kisheria zitafuatwa.

Sheria za kitaifa na kimataifa zimeweka wazi vigezo vya ku Discharge of Contract ( kuvunja Mkataba ambao ulishasainiwa)

1. Discharge by Agreement
2. Discharge by Performance
3. Discharge by Breach
4. Discharge by Expiration

Kwa maelezo ya Simbachawene, Mkataba umevunjwa by Agreement( kwamba wamekubaliana kuvunja); Na kuvunja mkataba by Agreement ni lazima turudi Kwenye Conditions of Contract.

Mkataba wowote lazima uwe na Clause inayotoa ufafanuzi kama entity( taasisi) itataka kusimamisha Mkataba kabda ya Mkataba kuisha ni lazima kuwe na Remedy au Liquidated Damage kwa manufacturer or Supplier.
( lazima kuwe na malipo ya kusimamisha mkataba na wakati mwingine huwa ni malipo makubwa zaidi ya value of the contract hasa kwa mikataba ya kimataifa).

Hivyo; hasara ambaye nchi imeingia kwa boko la Kangi Lugola ipo tena kubwa sana sema Transparency imekuwa ni changamoto kwa awamu ya 5. Kuanzia kwenye tendering process, vikao vya tender board, Evaluation Committee, Preparing solicitation documents it takes a lot of money plus the loss for discharge of contract !

na shauri wabunge wa TZ walifanyie uchunguzi hili swala kujua hasara nchi iliyoingia kwa kuvunja Mkataba huo. Na uchunguzi huo ni kufuatilia upande wa Supplier, huyu atakuwa na mengi ya kusema. Aidha, Ofisi ya Attorney General ina mengi ya kusema, Paymaster General( Doto) ana mengi ya kusema !

Na je hukumu ya Kangi na timu yake imeishia wapi ? Mbona hatuoneshwi kama tunavyooneshwa ya kina Mbowe na kundi lake ? Au mahakama zipo kwa ajili ya upinzani tu tena kwa vitu visivyokuwa na msingi wowote.

Upinzani fanyieni kazi hili suala mje na majibu kuna ukakasi mkubwa sana katika hii issue. Kutuambia kwamba mkataba umeshavunjwa haitoshi, na ni kutowatendea haki watanzania.

Lazima tujue hasara tunazopata pindi tunapofanya blunders kama hizi kwa maslaha ya watu fulani fulani. Kumtumbua Kangi haitoshi, ni lazima tuone anawajibishwa kisheria na hasara zitambulike.

Upinzani hiii iwe ni ajenda yenu kwenye kampeni za uchaguzi!

Napenda kusoma vitu vya weledi kama hiki uchoki kichwa
 
Back
Top Bottom