Mjadala : Tunasubiri nini kumpa nafasi Shaffi Dauda kuongoza TFF?

Kuna Ally Mayai pia.Watu wenye Vision Lakini sasa kupata nafasi kwa jinsi mizizi ya kugombea ilivyoingia ndani ni kazi mno.TFF kwa kipindi cha karibuni ukimuacha Tenga kidg hawajawahi kupata mtu Sahihi wenye kutoa dira kuhusu mchezo huu unaopendwaa na mamilioni ya watu wa kiila rika na kila Jinsi
 
Katika Ubunifu na utekelezaji sina shaka shafii ni mtu sahihi Tatizo lake ni mnazi wa Yanga aliyepitiliza hafichi mapenzi yake jambo ambalo si zuri kwa kiongozi
alafu wengi msichojua ni kwamba shafii ni shabiki kulia lia kabisa wa simba tangu na tangu na kashawai kua mmoja ya mascot wa simba enz za kina mulami ..ndo mtu alimletaga Joseph owino simba,,...matatzo yake na viongoz wa simba na kuminyiwa mirija yake ya ulaji ndo yalosababisha mabifu bifu hayo .ila shafii ni shabiki wa simba kindaki ndaki
 
Mchambuzi wa soka kwenye media sio management ya soka, wenye kumbukumbu mnajua kuwa baadhi walishampendekeza Dr. Rick apewe ukocha wa Taifa stars!
Shafi anafit sana hapo alipo na ndio maana mchango wake unaonekana dhahiri. Ukimuuliza anaweza kukueleza kwa usahihi ni nani (akina nani) anastahili kuongoza mpira wa Tanzania au hata ni structure gani itumike.
Case closed
 
Nimekaa na kutafakari sana juu la hili jambo, Shaffi Dauda ameweza kufanya vitu vingi Sana kwenye mchezo wa soka hapa nchini,
Nakumbuka mwaka 2014 aliweza kubuni soka la ufukweni wakishirikiana na TFF pamoja wadau wengine kama Boniface Pawasa na wengineo
Mashindano yalishirikisha vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu jijini Dar es salaam, hakika ulikua ubunifu wa hali ya juu sana, nami nina medali ya mshindi wa pili wa fainali ile ya kwanza ya beach soccer
Shaffi huyu huyu amebuni ndondo cup, zamani tulizoea kucheza mitaani lakini haikua na nguvu kubwa kama sasa, tumeona ndondo cup imeweza kuwatoa wachezaji kadhaa na wengine wapo timu ya taifa
Wengi walioko katika shirikisho la soka hawana vision na huu mchezo, tunataka watu ambao watatuvusha kutoka hapa kwenda hatua nyingine nzuri zaidi

Ile sehemu wameunda kikundi chao cha kugombea kiasi kwamba hawataki baadhi ya watu washike zile nyazifa, tunataka maendeleo ya mpira na tutayapata kama tutakua na watu sahihi katika nafasi hizo

Najua kuna wengi wanamchukia huyu jamaa lakini hii haiondoi mazuri yote aliyofanya kwenye michezo hapa nchini,
Kama kweli tunataka kupiga hatua kwenye mchezo huu pendwa basi hatuna budi kuweka watu sahihi katika nafasi sahihi, mtu kama Ali Mayay anafaa sana kuongeza lile shirikisho inasikitisha waliopiga kura hawakuona umuhimu wake,
Simfahamu Shaffi hata kidogo lakini naona ni mtu ambaye ana ubunifu mkubwa kwenye soka, yule ni fursa na hatuna budi kuitumia
Alijaribu kuomba uongozi lakini mizengwe iliyomkuta sidhani kama ana hamu tena ya kujiingiza huko. Waliojificha huko hawataki watu ambao watakuja kuwaharibia mirija yao.
 
Nimekaa na kutafakari sana juu la hili jambo, Shaffi Dauda ameweza kufanya vitu vingi Sana kwenye mchezo wa soka hapa nchini,
Nakumbuka mwaka 2014 aliweza kubuni soka la ufukweni wakishirikiana na TFF pamoja wadau wengine kama Boniface Pawasa na wengineo
Mashindano yalishirikisha vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu jijini Dar es salaam, hakika ulikua ubunifu wa hali ya juu sana, nami nina medali ya mshindi wa pili wa fainali ile ya kwanza ya beach soccer
Shaffi huyu huyu amebuni ndondo cup, zamani tulizoea kucheza mitaani lakini haikua na nguvu kubwa kama sasa, tumeona ndondo cup imeweza kuwatoa wachezaji kadhaa na wengine wapo timu ya taifa
Wengi walioko katika shirikisho la soka hawana vision na huu mchezo, tunataka watu ambao watatuvusha kutoka hapa kwenda hatua nyingine nzuri zaidi

Ile sehemu wameunda kikundi chao cha kugombea kiasi kwamba hawataki baadhi ya watu washike zile nyazifa, tunataka maendeleo ya mpira na tutayapata kama tutakua na watu sahihi katika nafasi hizo

Najua kuna wengi wanamchukia huyu jamaa lakini hii haiondoi mazuri yote aliyofanya kwenye michezo hapa nchini,
Kama kweli tunataka kupiga hatua kwenye mchezo huu pendwa basi hatuna budi kuweka watu sahihi katika nafasi sahihi, mtu kama Ali Mayay anafaa sana kuongeza lile shirikisho inasikitisha waliopiga kura hawakuona umuhimu wake,
Simfahamu Shaffi hata kidogo lakini naona ni mtu ambaye ana ubunifu mkubwa kwenye soka, yule ni fursa na hatuna budi kuitumia
Amekuahidi nini? Aliwahi kugombea uongozi TFF lakini alikuwa hana sifa ya uongozi
 
Amekuahidi nini? Aliwahi kugombea uongozi TFF lakini alikuwa hana sifa ya uongozi
Simjui kabisa, namuona tuu katika vyombo vya Habari....
Pia kada yangu ni uhandisi ujenzi ila napenda sana michezo, hivyo uzi si kwamba kanituma hapana bali naona ana juhudi anastahili hiyo nafasi
 
Katika Ubunifu na utekelezaji sina shaka shafii ni mtu sahihi Tatizo lake ni mnazi wa Yanga aliyepitiliza hafichi mapenzi yake jambo ambalo si zuri kwa kiongozi
Uyu ni simba na ni mwanachama pia anaichukia simba coz kuna nafasi alibaniwaga
 
Nimekaa na kutafakari sana juu la hili jambo, Shaffi Dauda ameweza kufanya vitu vingi Sana kwenye mchezo wa soka hapa nchini,
Nakumbuka mwaka 2014 aliweza kubuni soka la ufukweni wakishirikiana na TFF pamoja wadau wengine kama Boniface Pawasa na wengineo
Mashindano yalishirikisha vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu jijini Dar es salaam, hakika ulikua ubunifu wa hali ya juu sana, nami nina medali ya mshindi wa pili wa fainali ile ya kwanza ya beach soccer
Shaffi huyu huyu amebuni ndondo cup, zamani tulizoea kucheza mitaani lakini haikua na nguvu kubwa kama sasa, tumeona ndondo cup imeweza kuwatoa wachezaji kadhaa na wengine wapo timu ya taifa
Wengi walioko katika shirikisho la soka hawana vision na huu mchezo, tunataka watu ambao watatuvusha kutoka hapa kwenda hatua nyingine nzuri zaidi

Ile sehemu wameunda kikundi chao cha kugombea kiasi kwamba hawataki baadhi ya watu washike zile nyazifa, tunataka maendeleo ya mpira na tutayapata kama tutakua na watu sahihi katika nafasi hizo

Najua kuna wengi wanamchukia huyu jamaa lakini hii haiondoi mazuri yote aliyofanya kwenye michezo hapa nchini,
Kama kweli tunataka kupiga hatua kwenye mchezo huu pendwa basi hatuna budi kuweka watu sahihi katika nafasi sahihi, mtu kama Ali Mayay anafaa sana kuongeza lile shirikisho inasikitisha waliopiga kura hawakuona umuhimu wake,
Simfahamu Shaffi hata kidogo lakini naona ni mtu ambaye ana ubunifu mkubwa kwenye soka, yule ni fursa na hatuna budi kuitumia
Wanamjua akili mingi. Kila akigombea, tena anagombea ujumbe, wanampiga chini fasta. Iwe Simba au TFF hawataki kisikia jina lake.
 
Wanamjua akili mingi. Kila akigombea, tena anagombea ujumbe, wanampiga chini fasta. Iwe Simba au TFF hawataki kisikia jina lake.
Wanambania jamaa makusudi wanaona atawaharibia ulaji na pia wanaona atawafunika na kuwazidi kiutendaji.
 
Nimekaa na kutafakari sana juu la hili jambo, Shaffi Dauda ameweza kufanya vitu vingi Sana kwenye mchezo wa soka hapa nchini,
Nakumbuka mwaka 2014 aliweza kubuni soka la ufukweni wakishirikiana na TFF pamoja wadau wengine kama Boniface Pawasa na wengineo
Mashindano yalishirikisha vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu jijini Dar es salaam, hakika ulikua ubunifu wa hali ya juu sana, nami nina medali ya mshindi wa pili wa fainali ile ya kwanza ya beach soccer
Shaffi huyu huyu amebuni ndondo cup, zamani tulizoea kucheza mitaani lakini haikua na nguvu kubwa kama sasa, tumeona ndondo cup imeweza kuwatoa wachezaji kadhaa na wengine wapo timu ya taifa
Wengi walioko katika shirikisho la soka hawana vision na huu mchezo, tunataka watu ambao watatuvusha kutoka hapa kwenda hatua nyingine nzuri zaidi

Ile sehemu wameunda kikundi chao cha kugombea kiasi kwamba hawataki baadhi ya watu washike zile nyazifa, tunataka maendeleo ya mpira na tutayapata kama tutakua na watu sahihi katika nafasi hizo

Najua kuna wengi wanamchukia huyu jamaa lakini hii haiondoi mazuri yote aliyofanya kwenye michezo hapa nchini,
Kama kweli tunataka kupiga hatua kwenye mchezo huu pendwa basi hatuna budi kuweka watu sahihi katika nafasi sahihi, mtu kama Ali Mayay anafaa sana kuongeza lile shirikisho inasikitisha waliopiga kura hawakuona umuhimu wake,
Simfahamu Shaffi hata kidogo lakini naona ni mtu ambaye ana ubunifu mkubwa kwenye soka, yule ni fursa na hatuna budi kuitumia
Labda Tanzania female federation
 
Kumbe shaffih umekuja mpaka huku? By the way jamaa ni mroho wa madaraka tu, mpenda urasimu hata ndani ya clouds anataka aonekane yeye akifanya kila kitu kwenye kipindi cha sports extra, sioni haiba ya uongozi katika shaffih. Kapigie kampeni Instagram sio huku.
Kuna mambo mengine ni ya ajabu sana, yaani badala ya kulalamika wafanyakazi wenzake unalalamika wewe uliyepo kishumundu huko
 
Back
Top Bottom