Jamaa ni simba damu, binafsi natamani siku moja niwaone kwenye uongozi wa tff tena kwa pamoja, Ali Mayay, Aaron Nyanda, Shafii Dauda, Eddo KumwembeKuna uthibitisho kwamba jamaa ni Yanga? Mbona wengine wanasema ni Simba?
Pale FA uingereza kuna watu ni arsenal, man u au Chelsea na mambo yanaenda