T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Saivi amemwachia slaaNape ameacha kutumia mkorogo mbona anakuwa mweusi?
Saivi amemwachia slaaNape ameacha kutumia mkorogo mbona anakuwa mweusi?
Nape ameacha kutumia mkorogo mbona anakuwa mweusi?
Ni uwezo gani huo bunge liongezewe? Ni uwezo gani hawana?Bunge liongezewe uwezo, sio bunge la kupigana ngumi, kuvunja mic
Karolaiti serikali imepiga marufukku
Ni uwezo gani huo bunge liongezewe? Ni uwezo gani hawana?
Nape amebanwa mbele na nyuma hapumui..Mtatiro na Faustine Sungura wamemkalia koooni Nape nii Mweupe ...nzigo kwelikweli. kudumu chama. cha. mizigo.....
Acha kukwepa swali, nimekuuliza ni uwezo gani unataka bunge liongezewe?Wananchi wachague wabunge wanaoweza kujenga hoja sio kuvunja mic na kupigana bungeni.
Kwa walio angalia kipindi watakubaliana nami kuwa hakika NAPE ni mtu makini asietanguliza siasa za vyama mbele ktk maslahi ya nchi
Amesema ya msingi kutokana na mawazir kuwajibika
1.tumegundua kuna maeneo yanashida ya mfumo
2.kunashida ya watendaji baadhi kutotimiza majukum yao.
CCM TUMESIKIA TUNACHUKUA HATUA NA TUNATEKELEZA
KIDUM CHAMA CHA SIASA
Nape ni mkweli. Ni lazima ccm iwe makini na watu inaowateua kuongoza serikali. Huu mtindo wa kila professa kila dr kupewa cheo bila kutazama undani wao ni hatari sana kwa mustakabali wa chama
Nape: wananchi wanawapuuza wapinzani kwa sababu ya uongo wao