Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,316
Picha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.

IMG_20170620_183222.jpg


IMG_20170620_183301.jpg


Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?

Gharama zote za mazishi kuanzia jeneza, mochwari, usafirishwaji wa miili mpaka majumbani mwa wafiwa, the government paid all these, but guys hawapo thankful kabisa? Kila siku ni matusi na kejeli kwa nchi yao, kwanini?

Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Viongozi wenu wanajituma sana kuwahudumia kadri ya uwezo wao na hali ya uchumi wa nchi. Learn to be thankful hata kwa vitu vidogo kama hivi.

Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?

Nothing is easier than blaming others for your own problems. Hakuna jambo rahisi kama kulalamikia serikali kwa matatizo yako wewe mwenyewe.

Nawasilisha.
 
Picha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.
View attachment 527790
View attachment 527792
Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?

Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?

Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?

Nawasilisha.

Haya ni mawazo ya ajabu sana! Ni sababu zipi zinazokufanya useme vijana wanaichukia serikali?
 
Picha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.
Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?

Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?

Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?

Nawasilisha.

Umewahesabu hao vijana? Idadi yao ikoje? au unachukulia hizi kelele za wagonga keyboard?
 
Bora ujisemehe kwa nafsi yako kama labda unaipenda au unaichukia serikali.
Ila mm kwa upande wangu kama kijana nnaipenda mno serikali yangu na pia nnafurahia kazi nzuri inayofanya kutuletea maendeleo. Napia nnaiunga mkono kwa asilimia zote
 
Picha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.
View attachment 527790
View attachment 527792
Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?

Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?

Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?

Nawasilisha.
Vijana wa ufipa kwa nini mnapenda kujumuisha vijana wote ktk hako kasakosi kenu??
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom