MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Kusema radio hii inafanya kitu kizuri kutuchonganisha kidini sio sahihi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manemo matupu ndugu, no research no right to speak.
kwako kuchonganishwa kwa kuwa unapata manufaa.lkn wengi tunaamini inasema ukweli na inatoa data. wewe kama chadema kanusha hizo data mbona mnakimbilia WAPO fm tu na redio imaani hata mkialikwa kukanusha mnakimbia?Kusema radio hii inafanya kitu kizuri kutuchonganisha kidini sio sahihi!
sio suala la dini hapa ni kuwa nabii hatambuliki nyumbani kwao!Nilishawahi kupost hata kuwa Kikwete ni bora zaidi ya wengine waliomtangulia ukiondoa mwalimu!lakini nikasema kinachomharibia ni kushindwa kuwadhibiti maswahiba wake hasa kuwakana na kuwachukulia hatua za kinidhamu na kisheria wanaoiba mali za nchi hii!
Hiyo link ni kama mihadarati. Kwa wanayoitumia wanapumbazwa na kuwa kama mateja tu. Umeshawaona mateja?Chukueni link....
Wadai magazeti mengi na vyombo vyingi vya habari hupotosha habari kwa makusudi.
wamesema sensa limepotoshwa huku hata wale waliokuwa wakivamiwa na polisi usiku wa manane vyombo hivi vilikuwa kimya.
wamesema ukiangalia maagzeti mengi yanayoripoti maagzeti hayo ni wahahariri wake wengi ni wakiristo
lkn wanadai hata wakenya wanavishangaa sana vyombo vyetu vya habari kwa kupindisha mambo.
walitoa mfano Mkufunzi mmoja wa MUM amedai alipoenda kanyata University, kikwete huko anapendwa sana kutokana na kuanzisha UDOM na Mandela univ, lkn vyombo vingi vya habari vya tanzania haviandiki habari hizo badala yake vinatizama vinamtizama Kikwete kama kikwete na Imani yake ya dini jambo ambalo ni janga kubwa kwa taifa
sio suala la dini hapa ni kuwa nabii hatambuliki nyumbani kwao!Nilishawahi kupost hata kuwa
(Kikwete ni bora zaidi ya wengine waliomtangulia ukiondoa mwalimu!lakini nikasema
kinachomharibia ni kushindwa kuwadhibiti maswahiba wake hasa kuwakana na kuwachukulia hatua za kinidhamu na kisheria wanaoiba mali za nchi hii!)
mpaka sasa sijamuelewa huyu mtoa mada alikua anamaanisha nini haaeleweki kabisa
''Tupoi ni Tupoi'' UAMSHO kweli vichwa maji sensa ni issue ya taifa haina dini wala chama UAMSHO kwa u tupoi wenu mmeidakia NA KUTIA UDINI,sensa chini ya ccm ni safi. uchaguzi chini ya CCM ni uovu? akili nyengine ukaimbiwa na wewe ujiambie hata ukijiita msomi lkn hili mumepotoka. kesho ukisikia kanisa limekosoa sensa hata chadema watageuza upepo