Wadai magazeti mengi na vyombo vyingi vya habari hupotosha habari kwa makusudi.
wamesema sensa limepotoshwa huku hata wale waliokuwa wakivamiwa na polisi usiku wa manane vyombo hivi vilikuwa kimya.
wamesema ukiangalia maagzeti mengi yanayoripoti maagzeti hayo ni wahahariri wake wengi ni wakiristo
lkn wanadai hata wakenya wanavishangaa sana vyombo vyetu vya habari kwa kupindisha mambo.
walitoa mfano Mkufunzi mmoja wa MUM amedai alipoenda kanyata University, kikwete huko anapendwa sana kutokana na kuanzisha UDOM na Mandela univ, lkn vyombo vingi vya habari vya tanzania haviandiki habari hizo badala yake vinatizama vinamtizama Kikwete kama kikwete na Imani yake ya dini jambo ambalo ni janga kubwa kwa taifa
wamesema sensa limepotoshwa huku hata wale waliokuwa wakivamiwa na polisi usiku wa manane vyombo hivi vilikuwa kimya.
wamesema ukiangalia maagzeti mengi yanayoripoti maagzeti hayo ni wahahariri wake wengi ni wakiristo
lkn wanadai hata wakenya wanavishangaa sana vyombo vyetu vya habari kwa kupindisha mambo.
walitoa mfano Mkufunzi mmoja wa MUM amedai alipoenda kanyata University, kikwete huko anapendwa sana kutokana na kuanzisha UDOM na Mandela univ, lkn vyombo vingi vya habari vya tanzania haviandiki habari hizo badala yake vinatizama vinamtizama Kikwete kama kikwete na Imani yake ya dini jambo ambalo ni janga kubwa kwa taifa