Kwa yeyote alie mtaalamu au anajua dawa nzuri ya kukuza na kuotesha nywele basi anipe maelekezo kichwa kinazidi kushika kasi ya kipala na bado kwa kwa sasa sijapendelea kua na kipara.
Nywele zinapunguaa pembeni tuu ila katikati zipo kama zilivyoo
Ni serious kabisa kama utajisikia kutania wewe tania, ukitaka kutukana tukana ila kama una ushauri usiache kunambia
Natanguliza shukrani za dhati
Nywele zinapunguaa pembeni tuu ila katikati zipo kama zilivyoo
Ni serious kabisa kama utajisikia kutania wewe tania, ukitaka kutukana tukana ila kama una ushauri usiache kunambia
Natanguliza shukrani za dhati