Ability product
Member
- Jun 24, 2017
- 9
- 3
Ahsante ndugu yangu nifanye hivyoda! pole mkuu,ushauri kama huna syphlis second chancre basi nashauri kama onana na docta hasa hawa wa maduka ya dawa binafsi mwambie akuchome hydrocotisone injection 200mg bd ndani ya siku tatu na upake clotrimazole cream uichanganye na whitfield field pamoja ndo upake mara mbili kutwa then utatupa mrejesho.nimeshauri hivyo kuhusu duka la dawa sababu hospital hawakubali uwape ushaur watakuambia usiwafundishe kazi hivyo kwenye duka la dawa wapo wanaojiwa kuinject sindano watakusaidia kwa hilo