denis fourplux
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 1,049
- 1,378
- Thread starter
- #481
Guys naomba niseme kitu mtu asinifate inbox kuhusu Majina ya dawa.
Nlishatoa mrejesho hapa kuwa nilipona kabisa na nkasema mimi sio daktari au mtu niliebobea kwenye Madawa.
Tatizo nlilolipata nlijifunza kutafuta tiba hospital mbali mbali so unakuta mtu anapata tatizo ata kama sio kama langu anataka nimpe majina ya dawa pasipo kwenda kwa daktari unaweza ukawa na dalili sawa na nlichowai kukipata ila kikawa ni kitu tofauti.
Nlishatoa mrejesho hapa kuwa nilipona kabisa na nkasema mimi sio daktari au mtu niliebobea kwenye Madawa.
Tatizo nlilolipata nlijifunza kutafuta tiba hospital mbali mbali so unakuta mtu anapata tatizo ata kama sio kama langu anataka nimpe majina ya dawa pasipo kwenda kwa daktari unaweza ukawa na dalili sawa na nlichowai kukipata ila kikawa ni kitu tofauti.