Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,372
- Thread starter
- #21
Ok, asante kwa maelezoPolicy ya third party inalipa mtu mmoja yule uliyemgonga wakati comprehensive inalipa watu wote wawili aliyegonga na aliyegongwa
Kuwa na gari bila bima ni kosa kisheria ambapo ukibananishwa polisi/mahakamani ni ishu ingine