Mjadala; Nini cha kufanya gari yako ikigongwa au kugonga?

Policy ya third party inalipa mtu mmoja yule uliyemgonga wakati comprehensive inalipa watu wote wawili aliyegonga na aliyegongwa

Kuwa na gari bila bima ni kosa kisheria ambapo ukibananishwa polisi/mahakamani ni ishu ingine
Ok, asante kwa maelezo
 
Aisee mimi sikugonga wala kugongwa ila gari yetu iligonga nguzo barabarani.

Aisee mziki wa kule police sio wa mchezo ila shughuli iko zaidi TANROADS kama ukiwa umeharibu miundombinu yao na watu wengi hawajui hili,yaani pesa utakayotajiwa unaweza ukazimia.

Nilikuta magari pale Tanroads jamaa wameyatelekeza baada ya kushindwa kulipa uharibifu walioufanya kwny miundombinu kwny ajali mbalimbali.

Nina mfano hapa ila hauna uhusiano na ajali,Kuna jamaa wa Fuso yeye alipata Breakdown highway akamwaga oil barabarani aliambiwa alipe Tsh. 3mil kwa uharibifu wa lami.

So wkt ajali inatokea muwe mnaomba kusiwe na uharibifu umetokea kwny miundombinu ya Tanroads.,hakika utalichukia gari lako na kujuta nani alikutuma ulinunue.
inachekesha lakini inauma,yaani ukiwa na gari nchi hii ni kama wanakufanya mtaji hivi,yaani kumwaga oil tu mil 3,hapo lazima utaacha gari tu
 
inachekesha lakini inauma,yaani ukiwa na gari nchi hii ni kama wanakufanya mtaji hivi,yaani kumwaga oil tu mil 3,hapo lazima utaacha gari tu
Hahah aiseee nilishangaa sana mkuu,yaani hata ukimwaga yale maji ya kwny rejeta barabarani jamaa hawakuachi una bonge la fine ambalo hukuwahi kulifikiria.
 
Mara nyingi wewe unaona umemkwaruza kidogo tu ila madhara yake ni kupiga rangi panel nzima(mlango,bumper,fender) ili kuepusha rangi kupishana. Rangi nyingine inabidi ipigwe upande mzima. Matokeo yake gharama inakuw kubwa wakati umemkwaruza sehemu ndogo tu

Nafahamu ila kuna wengine hufanya kukomoa tu!
 
Hivi Kama gari imekugonga ukiwa kwenye gari lingine na aliyekugonga kakimbia ila umepiga picha plate namba yake unawezaje kumkamata. Hii hutokea sana usiku ambapo mtu anakugonga Kisha anakimbia
 
Hivi Kama gari imekugonga ukiwa kwenye gari lingine na aliyekugonga kakimbia ila umepiga picha plate namba yake unawezaje kumkamata. Hii hutokea sana usiku ambapo mtu anakugonga Kisha anakimbia
Mkuu hii sijajua kama huo ushahidi wa picha likiwa linakimbia ni sufficient.
Labda uchukue video ya tukio zima.
 
Maelezo mazuri, tuchukulie kagonga gari yako yako mkiwa Highway,halafu akaamua kuondoka inakuaje hapo?
Nashika namba za hiyo gari ilionigonga.

Nasimama. Naangalia kama nimeumia.

Napiga picha za kutosha kama ushahidi.

Nikifika mbele nawataarifu polisi kilichotokea. Watafanya mawasiliano na wa mbele kusimamisha hilo gari.
 
Mkuu ni sahihi kabisa umeelezea vyema.

Ila kumalizana mara nyingi kuna save time na usumbufu wa kufuatilia.

Ili bimayake ilipe (wewe ni third party) inabidi kuwe na court judgement(maamuzi ya mahakama kusema who was at fault. Hii ni document ambayo ni lazima kuwa nayo ili ulipwe na bima.

Ili kuipata hii inabidi usubiri si chini ua mwezi mmoja kwa mahakama zetu hizi.
Sasa mwezi mzima hutumii gari yako plus kwenda mahakamani au kumuuliza askari mwenye hilo jalada ni usumbufu sana pia wanaomba sana hela ya maji mkuu.

Watu wanamalizana sio kwamba hawataki kufuata process ila time.
Mtu amepasua taa zako kununua zote mbili unaambiwa 300k. Plus ufundi wa kurekebisha hapa na pale.

Yeye ataanza kulalamika akupe 50k au 100k au akakununulie mitumba ya ilala.

Wakati bima inakupa kitu brand new plus maintainance ya nzuri.

Hata nikikugonga, sikupi hata sh 100. Bima yangu itakulipa. Na ntakupa ushirikiano mwanzo mwisho.

Ndo maana sipendi mambo ya kumalizana kienyeji.
 
Aisee mimi sikugonga wala kugongwa ila gari yetu iligonga nguzo barabarani.

Aisee mziki wa kule police sio wa mchezo ila shughuli iko zaidi TANROADS kama ukiwa umeharibu miundombinu yao na watu wengi hawajui hili,yaani pesa utakayotajiwa unaweza ukazimia.

Nilikuta magari pale Tanroads jamaa wameyatelekeza baada ya kushindwa kulipa uharibifu walioufanya kwny miundombinu kwny ajali mbalimbali.

Nina mfano hapa ila hauna uhusiano na ajali,Kuna jamaa wa Fuso yeye alipata Breakdown highway akamwaga oil barabarani aliambiwa alipe Tsh. 3mil kwa uharibifu wa lami.

So wkt ajali inatokea muwe mnaomba kusiwe na uharibifu umetokea kwny miundombinu ya Tanroads.,hakika utalichukia gari lako na kujuta nani alikutuma ulinunue.
Kama una bima kubwa si italipwa?
 
Yes italipwa(vigezo na masharti kuzingatiwa) ila inachukua muda mrefu sana,maana kuna magari mengi sana niliyakuta pale yakisubiri case zao za insurance kua settled.
Muda mrefu ni upi?

Kwa watu ninaowafahamu, kesi zao za bima zilichukua 2 weeks na bima ikawafanyia matengenezo.

Kampuni ninayokata bima, mmiliki namfahamu personally. Nikipata shida, nampigia anaharakisha mchakato.

Nafahamu kesi nyingine canter iligonga gari tena mpya zile za kuchana makaratasi.

Mwenye kenta alikuwa na third party. Kesi ikaenda mahakamani na ndani ya week hukumu ikatoka.

Gari ikapelekwa kwa dealer, mzigo ukabadilishwa kila kitu kibovu.

Ni zoezi kama la week 2 tu.

Ndo maana nasema, hizi kampuni za bima zinaondoka na hela nyingi sana kwa wateja wao wanavyomalizana kienyeji barabarani.

Kuhusu suala la tanroads sijawahi kukutana nalo.
 
Muda mrefu ni upi?

Kwa watu ninaowafahamu, kesi zao za bima zilichukua 2 weeks na bima ikawafanyia matengenezo.

Kampuni ninayokata bima, mmiliki namfahamu personally. Nikipata shida, nampigia anaharakisha mchakato.

Nafahamu kesi nyingine canter iligonga gari tena mpya zile za kuchana makaratasi.

Mwenye kenta alikuwa na third party. Kesi ikaenda mahakamani na ndani ya week hukumu ikatoka.

Gari ikapelekwa kwa dealer, mzigo ukabadilishwa kila kitu kibovu.

Ni zoezi kama la week 2 tu.

Ndo maana nasema, hizi kampuni za bima zinaondoka na hela nyingi sana kwa wateja wao wanavyomalizana kienyeji barabarani.

Kuhusu suala la tanroads sijawahi kukutana nalo.
Naongelea suala la pesa ya bima kwny miundombinu ya serikali iliyoharibika kwa sababu ya ajali iliyosababishwa na gari husika.

Sijaongelea Pesa ya bima kwny ajali ya gari kwa gari.
 
Nashika namba za hiyo gari ilionigonga.

Nasimama. Naangalia kama nimeumia.

Napiga picha za kutosha kama ushahidi.

Nikifika mbele nawataarifu polisi kilichotokea. Watafanya mawasiliano na wa mbele kusimamisha hilo gari.
Asante
 
Naongelea suala la pesa ya bima kwny miundombinu ya serikali iliyoharibika kwa sababu ya ajali iliyosababishwa na gari husika.

Sijaongelea Pesa ya bima kwny ajali ya gari kwa gari.
Najua.

Kama kampuni ya bima inaweza kulipa claims za ajali na hiyo ni ajali.

Nayo inatakiwa kushughulikia kwa uzito uleule.
 
Back
Top Bottom