rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,472
- 41,865
Aisee kumbe ukikwaruza unaweza kuosha pakangaaa kabisa??Kuna Mama mmoja aligongwa na Mzee basi bana Mama anataka aende kwa Mchina kasehemu kenyewe kadogo sana.
Mzee akampa 50,000 akagoma, nikazichukua nikapanda gari la huyo Mama tukafika Mwenge nikachukua wale mafundi wakasema mbona hapa twaosha tu panakuwa safi....
Kweli bana wakaosha tu nikawapa 15,000
Yule mama alisonya sana
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app