Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,429
arifu ukitaka ubebwe uonekane msomi wwe longa kizungu aisee....si umeona jamaa kaanza na kizungu mpaka Mike katoka alipokuwa kaja mbio mbio si anajua wasomi hawa aisee.....unafikiri ingekuwa kwa kiswahili ungemuona? waiti lile jidada Ashadii lasubiri liwe moderator wa mdahalo....
arifu bongo ndio maana wapo kama walivyo kudadadadeki.......kwani arifu hujajua kinatafutwa nini kwenye debate mlengo huu?? hujajua tu????
ndio maana na mie nikapiga kizungu.....na nimeshaanza kupata hata PM na mie aisee.....kama ri kiranga mashori angekuwa bongo angewala kweli kweli aisee.....si unaona hata hapa anayoshobokewa hata na wanaume na kingereza chake cha urban dictionary
Hahaha,
Cha Queensbridge Projects, complete with double negatives.
Pamoja.
What do they say? "Don't hate the player, hate the game?"
Well I'm not even the player no more. I bought a team and do some coaching.
These cats can't be serious, they flow so delirious...