Mjadala Mzito kuhusu neno Benki ama Baki.

Mwalimu bado yupo boss, kupitia chama chake cha mafisi na washirikina ambacho kimewakaba kwenye m@p#mb# kwa miaka zaidi ya hamsini! Ndio maana pale kwenye ikulu yenu mmefuga mshamba, mzee 'semi-illiterate'. Shauri yenu jombaa, mtakimbiza mwenge kama vichaa hadi siku ya kiama.

Sawa, Kama ilivyo kenya na Jubilee, chama kipya wanachama walewale wa Kanu,
Yaani Msitu mpya nyani Walewale. Tofauti ni Kuwa hata mimi leo nikitaka nachukua kadi ya ccm naingia kwenye siasa ninaweza kuwa yeyote na hakuna mtu atanitenga kwa kabila langu,
Tofauti na hapo kama sio mkikuyu au mkalenjini Wewe ni Kapuku na huna haki ya kuongoza Kenya,
Hapo mmetawaliwa na Familia ya Mkora tangu uhuru.
 
Kama kuna ndugu zenu wanafunza Kiswahili huku hiyo sio tabu maana tayari tunaelewana kwa Kiswahili chenyewe, lakini la kwenda kwenye nchi ambazo lazima muelewane kwa Kingereza kwanza ndio wamusklize, hapo ndio mtihani ulipo. Kingereza kwenu ni janga la taifa, kuanzia mtaani hadi ikulu, kinawatesa sana..hehehehe.
Kuna wachache baadhi yenu huzungumza ipasavyo, hasa waliosomea Kenya na Ulaya, hao wachache kwa kweli hufaidi sana maana ni vigumu kumkuta Mtanzania anayeongea Kingereza kwa ufasaha na hana ajira, na wa hivyo wanadeka sana maana ni wachache sana na wanahitajika kote, hivyo inabidi Wakenya na Waganda watafutwe kuja kujaza pengo.
Labda kizazi chenu cha kesho kitakua bora maana kwa sasa mna shule za English medium ambazo kidogo zinaondoa hiyo aibu, ila lazima mfahamu lugha hadi uitumie ndio uwe bora, kuisomea shuleni haitoshi, mtoto atasoma ufasaha wa kingereza lakini akija nyumbani inamtoka maana wazazi weupe hawana uwezo wa kutiririka nao ung'eng'e.
Ndio maana wengi wenu wanawatuma watoto waje kusomea huku Kenya ili siku wakikua na kurudi Bongo, hawatapata tabu kwenye kusaka ajira, naomba utazame hii picha hapa chini utaelewa kitu.
View attachment 1132362
Haha kwa hiyo mbongo mpaka ajue English ni mpaka asomee Kenya au Ulaya!!!....wacha upotoshaji...wabongo wengi tu wanajua kutumia kiingereza na wamesomea hukuhuku kwetu...lugha ya kiingereza wakati mwingine inaathiriwa na lafudhi ya MTU ama wakati mwingine lugha mama na ndicho kinachotokea kwa watanzania wengi.....kuajiri walimu wakenya,waganda na wengine huko ni interest za shule binafsi...kwan mbona taasisi kubwa zaidi ya shule zinazohitaji kiingereza zaidi zinaajiri watanzania...?? Kw
 
Ukiwa m-mbea uwe na kumbukumbu... Vivyo hivyo ukiwa m-bishi uwe na maarifa ya kutosha...

Kwenye noti ya kenya imeandikwa "BANKI" Na sio "BAKI"....

Nirudi kwenye mada.. Neno BENKI/BANKI ni neno lilo kopwa kwenye lugha ya kiingereza, kiswahili cha kenya na Tanzania kina utofauti na vivyo hivyo kwenye kingereza... Wakenya wanatamka "BANK" kama "banki" sisi watanzania tunatamka "BANK" kama "benki"...

Kutokana na upungufu wa misamiati katika lugha ya kiswahili, neno hilo halina kiswahili chake sanifu.. Kwahiyo sio mkenya wala mtanzania aliyepo sahihi
..

Hayo mapungufu mengine ni ushamba wako..

Hapo imeindikwa "banki kuu ya KENYA"
Alafu kwa chini imendikwa kwa lugha ya kingereza.. Mfano wa noti hiyo angalia post inayofuata
Badala ya "I work" mkenya anasema "I wak" ha ha ha..
 
Kati yako na mimi nani kakurupuka
Makosa makubwa sana ya kiuandishi. Yaani ni ujinga wa hali yaju. Sentensi mbili mistari miwili ichangiwe na neno moja!!? Hilo siyo gazeti kijana. Pesa ni moja ya National Identities.
Hii yako inaitwa 'tunnel mindedness' from "tunnel vision"! Noti zimejaa art and graphics, mfano upande wa mbele ya noti zote za Tz thamani imeandikwa kwa font size tofauti...
Juu ni 10 000 chini ni 10 000
namba ya iyo noti inaanzia font size ndogo inaishia kubwa... F L 1 6..
Kwa huo mtazamo wako haya yote ni makosa?!
Stop being so uptight! Just have an open minded approach to things.
 
Haha kwa hiyo mbongo mpaka ajue English ni mpaka asomee Kenya au Ulaya!!!....wacha upotoshaji...wabongo wengi tu wanajua kutumia kiingereza na wamesomea hukuhuku kwetu...lugha ya kiingereza wakati mwingine inaathiriwa na lafudhi ya MTU ama wakati mwingine lugha mama na ndicho kinachotokea kwa watanzania wengi.....kuajiri walimu wakenya,waganda na wengine huko ni interest za shule binafsi...kwan mbona taasisi kubwa zaidi ya shule zinazohitaji kiingereza zaidi zinaajiri watanzania...?? Kw

Narudia tena, maana naona hatuelewani, kufundishwa lugha shuleni sio issue, lugha yoyote ile unaweza ukafundishwa, ila ili uwe bora kweye kuiongea, lazima uitumie kwenye maongezi ya kila siku, huku Kenya tunatumia lugha zote kwenye ofisi zetu na nyumbani,
Watoto wangu hapa huwa tunabadilisha badilisha, mara Kingereza, Kiswahili na hata kilugha cha asili (maana hatutaki kupoteza lugha zetu za asili).
 
Narudia tena, maana naona hatuelewani, kufundishwa lugha shuleni sio issue, lugha yoyote ile unaweza ukafundishwa, ila ili uwe bora kweye kuiongea, lazima uitumie kwenye maongezi ya kila siku, huku Kenya tunatumia lugha zote kwenye ofisi zetu na nyumbani,
Watoto wangu hapa huwa tunabadilisha badilisha, mara Kingereza, Kiswahili na hata kilugha cha asili (maana hatutaki kupoteza lugha zetu za asili).
Kipi kinatumika zaidi? English au Swahili??
 
Kipi kinatumika zaidi? English au Swahili??
Kiswahili kinatumika zaidi hasa mtaani, lakini kingereza kipo sana ofisini na hata nyumbani, maana lazima uwe mjanja wa lugha zaidi ya moja dunia hii, pia lugha zetu za asili tunazitumia sana maana ni utumwa kutelekeza asili yako.
 
Ahaaa haaa haaa
Siyo kila KAMUSI ya kiswahili ni sahihi. Kimataifa, taasisi peke ambayo imechapa KAMUSI KUU YA KISWAHILI ni Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Nje ya hii taasisi hakuna kiswahili.
Color (American) and Colour (British). Benki Tanzagiza, Banki Kunyaland...tosheka mkuu wacha ubishi.
 
Saaafi kabisa.
TUKI NI KISWAHILI NA KISWAHILI TUKI

Neno BANKI si neno la KISWAHILI.
"Banki" ni neno la kiswahili sanifu kama ilivyo "Benki". Tofauti neno moja ni la kiswahili cha Kenya na jingine ni la kiswahili cha Tanzania. Ni sawa tu na neno "sokoni" la kiswahili cha Tanganyika na "marikiti" kiswahili cha Zanzibar. Au "shule" na "skuli" yote ni maneno ya kiswahili ila moja la Tanganyika na jingine la Zanzibar. Jingine ni "bomba" na "mfereji". Kama una hoja nyingine sema.
 
"Banki" ni neno la kiswahili sanifu kama ilivyo "Benki". Tofauti neno moja ni la kiswahili cha Kenya na jingine ni la kiswahili cha Tanzania. Ni sawa tu na neno "sokoni" la kiswahili cha Tanganyika na "marikiti" kiswahili cha Zanzibar. Au "shule" na "skuli" yote ni maneno ya kiswahili ila moja la Tanganyika na jingine la Zanzibar. Jingine ni "bomba" na "mfereji". Kama una hoja nyingine sema.

Hehehe!! Umenikumbusha mbali, kipindi nikiwa Zanzibar kwa ujinga wangu nikaanza kuwarekebisha kwamba waache kutumia 'skuli' maana sio Kiswahili, aisei waliniweka sawa nikatulia.
 
Kiswahili kinatumika zaidi hasa mtaani, lakini kingereza kipo sana ofisini na hata nyumbani, maana lazima uwe mjanja wa lugha zaidi ya moja dunia hii, pia lugha zetu za asili tunazitumia sana maana ni utumwa kutelekeza asili yako.
Sawa mkuu nimekupata.....mnajua zaidi kiingereza,tunajua zaidi kiswahili
 
Hehehe!! Umenikumbusha mbali, kipindi nikiwa Zanzibar kwa ujinga wangu nikaanza kuwarekebisha kwamba waache kutumia 'skuli' maana sio Kiswahili, aisei waliniweka sawa nikatulia.
Naam ukienda Rome unafanya kama wanavyofanya wao. Hata mimi suala la kuita "bomba la maji" kuwa ni "mfereji wa maji" ilichukua muda kulielewa. Ndio uzuri wa lugha yetu adhimu ya kiswahili huo.
 
Msamehe Mkuu alitaka kuandika BAK 😜😜

Ukiwa m-mbea uwe na kumbukumbu... Vivyo hivyo ukiwa m-bishi uwe na maarifa ya kutosha...

Kwenye noti ya kenya imeandikwa "BANKI" Na sio "BAKI"....

Nirudi kwenye mada.. Neno BENKI/BANKI ni neno lilo kopwa kwenye lugha ya kiingereza, kiswahili cha kenya na Tanzania kina utofauti na vivyo hivyo kwenye kingereza... Wakenya wanatamka "BANK" kama "banki" sisi watanzania tunatamka "BANK" kama "benki"...

Kutokana na upungufu wa misamiati katika lugha ya kiswahili, neno hilo halina kiswahili chake sanifu.. Kwahiyo sio mkenya wala mtanzania aliyepo sahihi
..

Hayo mapungufu mengine ni ushamba wako..

Hapo imeindikwa "banki kuu ya KENYA"
Alafu kwa chini imendikwa kwa lugha ya kingereza.. Mfano wa noti hiyo angalia post inayofuata
 
Back
Top Bottom